Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kama umeniona mlimani city vile... nipo napata mambo yanguSasa wewe Moro si kama unatoka kwako unaenda mlimany city!
Barabara kutoka Tanga-Pangani mpaka Ushongo ni vumbi inafikika na gari yoyote.Barabara ikoje?
Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.Mara ya mwisho niliiacha mbaya ila sahivi wana mpango wa kujenga lami inayotokea bagamoyo na kukatisha sadani, kipumbwi, pangani mpaka tanga.
Nna mpango wa kurudi tena mwezi wa 8.
Haya ndio mambo umbali wa km30 unatembea masaa mawili!Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.
Bora mtu aende mpaka Muheza kisha akatishe njia ya Madanga aingie Pangani hii ni short cut ingawa kutoka Muheza mpaka Pangani ni vumbi. Au aende mpaka Tanga mjini kisha Pangani.
Ila unamiliki moja.Mkuu sijawai kuzipenda subaru. Kuna uzi humu nimeziponda sanaaa.. katika gari ambazo sijawahi zipenda ni subaru
Pale Pongwe nako kuna njia ya kukatisha inapita Malanzara mpaka Kirare. Ni fupi kiasi.Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.
Bora mtu aende mpaka Muheza kisha akatishe njia ya Madanga aingie Pangani hii ni short cut ingawa kutoka Muheza mpaka Pangani ni vumbi. Au aende mpaka Tanga mjini kisha Pangani.
Nimeliacha site watu walitumie , gari la hovyo sijapata kuona..Ila unamiliki moja.
Mkuu sio kufuru, site ni sehemu ya kazi 😀😀😀😀 ambayo inafanya mkono uende kinywaniAisee! kufuru hii mkuu
Tanga Pangani kwa speed ya kawaida ukiwa na gari ndogo unatumia saa 1 kwa wale wa kufunguka ni dakika 45.Haya ndio mambo umbali wa km30 unatembea masaa mawili!
Kwa kukaa mbele hujambo wee, lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ndio napenda kukaa nyuma[emoji12]Kwa kukaa mbele hujambo wee, lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maaana na yake ilikuja na container ah ah ah mkuu wasiwasi wa kwamba kilometre zilichezewa unazidi kua juu teh teh(😂😂😂)Kama nilivyosema hayo magari ni very cheap ukinunua used brand new ndio shida. Kama hio Chrysler 300 c nilinunua dola elfu saba, na hio dodge nilinunua dola elfu nane mia tano na ile bmw ilikuwa dola 5000 na zote nikaingiza kwenye 40 feet container zote tatu. maana kutoka marekani huwezi kusafirisha gari ikiwa uchi lazima iwe kwenye container. na kusafirisha container mpaka tanzania dola 5000.
Kwahiyo hata hio escallade ukitaka ya 2017 au 2015 bado utainunua hata kwa dola elfu 25 mpaka 35 kwa bei nafuu. kama picha inavoonyesha hapo chini ni ya mwaka 2017. Pia wenzetu kila mwaka unavyoanza wanaacha gari ya mwaka uliopita. yaani gari nyingi barabarani ni za miaka minne au mitano nyuma.
Ila hio ndiga ya 2015 ikifika bongo utaiona kama brand new kumbe ishatumika balaa.
View attachment 1831071
Swali la mwisho mkubwaKama nilivyosema hayo magari ni very cheap ukinunua used brand new ndio shida. Kama hio Chrysler 300 c nilinunua dola elfu saba, na hio dodge nilinunua dola elfu nane mia tano na ile bmw ilikuwa dola 5000 na zote nikaingiza kwenye 40 feet container zote tatu. maana kutoka marekani huwezi kusafirisha gari ikiwa uchi lazima iwe kwenye container. na kusafirisha container mpaka tanzania dola 5000.
Kwahiyo hata hio escallade ukitaka ya 2017 au 2015 bado utainunua hata kwa dola elfu 25 mpaka 35 kwa bei nafuu. kama picha inavoonyesha hapo chini ni ya mwaka 2017. Pia wenzetu kila mwaka unavyoanza wanaacha gari ya mwaka uliopita. yaani gari nyingi barabarani ni za miaka minne au mitano nyuma.
Ila hio ndiga ya 2015 ikifika bongo utaiona kama brand new kumbe ishatumika balaa.
View attachment 1831071
Aisee! Eti ndege ya chiniSwali la mwisho mkubwa
Je chrysler na crown kwa ndani kimuonekano lipi unalipa go ahead
Comfortability je
Najua kama chrysler ulitamba nalo basi
Crown ndege ya chini huwezi ukawa hujaipanda au kuitest 😂😂😂😂
Kauzi haka kanavutiwa wengi, hata guest mwisho wa siku ana amua ajisajiri tu humuDuh hii ndio post yako ya kwanza na uko na taarifa nyingi tu 😂😂
Kile kituta kikali kama mnazi ama mstimu umelazwa [emoji23][emoji23]Pale Sinza Mugabe kabla ya kukunja kwenda mawasiliano ukiwa unatokea shekilango, nilipiga lile tuta nikiwa 100kph.
Nilikuwa sijapita ile njia muda mrefu sana. Hiyo siku napita saa 8 usiku nipo speed nashangaa gari imepaa. Ilivyotua ilibidi nipaki pembeni kama nusu saa nasikilizia shida itajitokeza wapi.
Ile siku sitakaa niisahau.