Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sasa wewe Moro si kama unatoka kwako unaenda mlimany city!
Kama umeniona mlimani city vile... nipo napata mambo yangu

IMG_20210628_124417486.PORTRAIT.jpg
 
Mara ya mwisho niliiacha mbaya ila sahivi wana mpango wa kujenga lami inayotokea bagamoyo na kukatisha sadani, kipumbwi, pangani mpaka tanga.

Nna mpango wa kurudi tena mwezi wa 8.
Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.

Bora mtu aende mpaka Muheza kisha akatishe njia ya Madanga aingie Pangani hii ni short cut ingawa kutoka Muheza mpaka Pangani ni vumbi. Au aende mpaka Tanga mjini kisha Pangani.
 
Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.

Bora mtu aende mpaka Muheza kisha akatishe njia ya Madanga aingie Pangani hii ni short cut ingawa kutoka Muheza mpaka Pangani ni vumbi. Au aende mpaka Tanga mjini kisha Pangani.
Haya ndio mambo umbali wa km30 unatembea masaa mawili!
 
Njia ya Bagamoyo-Saadani-Kipumbwi-Pangani siyo nzuri Sana baada mvua za mwaka jana. Kwa uhai wa Sedan haifai hata cross sport SUV.

Bora mtu aende mpaka Muheza kisha akatishe njia ya Madanga aingie Pangani hii ni short cut ingawa kutoka Muheza mpaka Pangani ni vumbi. Au aende mpaka Tanga mjini kisha Pangani.
Pale Pongwe nako kuna njia ya kukatisha inapita Malanzara mpaka Kirare. Ni fupi kiasi.

Huna haja ya kuingia mpaka mjini.
 
Kama nilivyosema hayo magari ni very cheap ukinunua used brand new ndio shida. Kama hio Chrysler 300 c nilinunua dola elfu saba, na hio dodge nilinunua dola elfu nane mia tano na ile bmw ilikuwa dola 5000 na zote nikaingiza kwenye 40 feet container zote tatu. maana kutoka marekani huwezi kusafirisha gari ikiwa uchi lazima iwe kwenye container. na kusafirisha container mpaka tanzania dola 5000.

Kwahiyo hata hio escallade ukitaka ya 2017 au 2015 bado utainunua hata kwa dola elfu 25 mpaka 35 kwa bei nafuu. kama picha inavoonyesha hapo chini ni ya mwaka 2017. Pia wenzetu kila mwaka unavyoanza wanaacha gari ya mwaka uliopita. yaani gari nyingi barabarani ni za miaka minne au mitano nyuma.

Ila hio ndiga ya 2015 ikifika bongo utaiona kama brand new kumbe ishatumika balaa.

View attachment 1831071
Ndo maaana na yake ilikuja na container ah ah ah mkuu wasiwasi wa kwamba kilometre zilichezewa unazidi kua juu teh teh(😂😂😂)
Naomba yeyote anijibu
Je electrical dash zinaweza kuchezewa kama hizi kwenye premio zetu maan ile ya pale nmeona electrical kwenye hilo dinga
 
Kama nilivyosema hayo magari ni very cheap ukinunua used brand new ndio shida. Kama hio Chrysler 300 c nilinunua dola elfu saba, na hio dodge nilinunua dola elfu nane mia tano na ile bmw ilikuwa dola 5000 na zote nikaingiza kwenye 40 feet container zote tatu. maana kutoka marekani huwezi kusafirisha gari ikiwa uchi lazima iwe kwenye container. na kusafirisha container mpaka tanzania dola 5000.

Kwahiyo hata hio escallade ukitaka ya 2017 au 2015 bado utainunua hata kwa dola elfu 25 mpaka 35 kwa bei nafuu. kama picha inavoonyesha hapo chini ni ya mwaka 2017. Pia wenzetu kila mwaka unavyoanza wanaacha gari ya mwaka uliopita. yaani gari nyingi barabarani ni za miaka minne au mitano nyuma.

Ila hio ndiga ya 2015 ikifika bongo utaiona kama brand new kumbe ishatumika balaa.

View attachment 1831071
Swali la mwisho mkubwa
Je chrysler na crown kwa ndani kimuonekano lipi unalipa go ahead
Comfortability je

Najua kama chrysler ulitamba nalo basi
Crown ndege ya chini huwezi ukawa hujaipanda au kuitest 😂😂😂😂
 
Pale Sinza Mugabe kabla ya kukunja kwenda mawasiliano ukiwa unatokea shekilango, nilipiga lile tuta nikiwa 100kph.

Nilikuwa sijapita ile njia muda mrefu sana. Hiyo siku napita saa 8 usiku nipo speed nashangaa gari imepaa. Ilivyotua ilibidi nipaki pembeni kama nusu saa nasikilizia shida itajitokeza wapi.

Ile siku sitakaa niisahau.
Kile kituta kikali kama mnazi ama mstimu umelazwa [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom