Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Tutashukuru tukipata mrejesho wenye majibu, ila mie issue ilianza tyre moja ya nyuma kushoto. Ila japo nilibadirisha na kuweka zote mpya kameendelea kuwepoNilijua ni mimi tu. Nimepambana kuangalia pressure, nimefunga tyre mpya zote nne bado kapo tu! Kuna siku nilikazima (kuna button chini ya steering wheel hapo) kakaa siku tatu kamerudi. Kuna mlio wa bearing nausikia nafikiri inaweza kuwa sababu nikibadili nitaleta mrejesho.
Haha sema tu ndiyo hivyo abiria wengine huwa na haraka zaoParagraph ya mwsho huwa ndo mawazo yangu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Na tuseme amenMuombe Mungu akuepushe na kikombe Cha ulemavu.
Mungu mwenyewe anajua namna ya kumnyoosha mtu anayemtendea mabaya mwenza wake.
Yaani ukiwa fair kwa mtu halafu yeye anakukosea akitegemea tu asamehewe basi jua Mungu atamnyoosha tu.
Mungu ni wa haki sana,hawezi acha uteseke bure.
[emoji23]Ndoa ni kwa ajili ya watu wote japo siyo lazima ila ni muhimu.
Naona unayaongea haya pia kwa sababu ya umri[emoji23]bado mdogo.
Kumbe daraja lina foleni!,kwani hairuhisiwi sisi watembea kwa mguu tukatembea tu kwa mguu??
Basi kigamboni nitaendelea kuiona kwenye TV.
Yaani unatamani kivuko kijizungushe tu ili mradi Safari iwe ndefu!?!!!tena kwenye maji[emoji134]!
Mimi safari ikishaanza kuwa ndefu najihisi naugua njiani.
Juzi Kati hapa gari niliyokuja nayo ilikuwa inatembea utadhani daladala ya skuu-uyole..,nikajisemea moyoni yaani hapa hadi ichanganye ifike basi cha moto nitakuwa nimekiona.
Bado sina uwezo huo wa kuafford huo usafiri.Kuna ndege.
Amen[emoji120]Na tuseme amen
....
Hahaa young lady please spare me the marriage lectures
....
Kwahiyo hata kwa swimming pool hauwezi ingia
Ooh sawa. Tupo tofauti sana hapo kwenye hobby.Bado sina uwezo huo wa kuafford huo usafiri.
Hata nikipata huo uwezo nadhani siwezi kutumia gharama kwa ajili tu ya kusafiri kwa ndege,, nadhani nitakuwa na vipaumbele vingine..
Nb:
kusafiri siyo hobby yangu.
Teh teh kwani haujui kuwa africa mkubwa ndiyo hutangulia kuolewa sasa sijui ni milango ipi hiyo unayotaka nikufungulie? By the way hakuna kinachoweza kubadili mtazamo wangu kuhusu ndoa!Amen[emoji120]
Unajua mimi nakusubiri wewe ufungue mlango kwa kuanza kuolewa.
Tule ubwabwa wa mchele wa huku kwetu Mbeya.
Nitaendelea tu kukuhubiria kuhusu ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unaongelea swimming pool tena!?!
Mimi huyu nijidumbukize kwenye maji???
Kuelea tu kwenye meli au mtumbwi nimeshindwa...itakuwa kudumbukia kabisa kucheza na maji?
Yaani hata nipewe ofa na hela juu,kuogelea siwezi kujaribu.
Kuna vitu nilishakubali tu kuwa vitanipita maishani..kimojawapo ni kuogelea +pombe.,
Japo pombe nataka nijaribu,nasikia inaondoa mawazo .
Yaani nina tatizo la kukosa hela unataka niongeze na tatizo jingine la ndoa??[emoji23]Teh teh kwani haujui kuwa africa mkubwa ndiyo hutangulia kuolewa sasa sijui ni milango ipi hiyo unayotaka nikufungulie? By the way hakuna kinachoweza kubadili mtazamo wangu kuhusu ndoa!
....
Kuhusu pombe sikushauri! Lakini kama unatamani sana kujaribu na hakuna kinachoweza kukuzuia basi kwa kifupi naomba niseme tu welcome to the club!
....
Nje ya mada! Mie nisharudi dar kwahiyo ndiyo umegoma kuja kunitembelea?
Ndiyo mkuu.Ooh sawa. Tupo tofauti sana hapo kwenye hobby.
Hahaha ndoa ni nzuri ndiyo ila kumbuka siyo kila kizuri kilichowekwa na Mungu basi ni lazima kila binadamu akipate! Kumbuka hata vitu kama utajiri ni mzuri na Mungu kauweka lakini siyo kila mtu anaupata!Yaani nina tatizo la kukosa hela unataka niongeze na tatizo jingine la ndoa??[emoji23]
Mwisho matatizo yaniue!!
Nikishapata hela labda nitafikiria kuolewa.
Ndoa ni nzuri tu,na ndiyo maana Mungu akaiweka.
Pombe nataka nijaribu ili nipunguze mawazo,ila bahati mbaya kila mlevi ninayemuuliza pombe nzuri kwa mimi kuanzia nayo,hataki kunielekeza..
Hadi mchumba wangu wa selfika amekataa kabisa [emoji23],anasema hataki kubeba dhambi.
Bora unielekeze wewe rafiki yangu.
Mweeee Yaani nije nikutembelee unataka nipotee??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naijua sehemu nilipofikia tu..huko kwingine ni kutaka kunipoteza mjini hapa.
Ndoa ni nzuri kwa wote tu.Hahaha ndoa ni nzuri ndiyo ila kumbuka siyo kila kizuri kilichowekwa na Mungu basi ni lazima kila binadamu akipate! Kumbuka hata vitu kama utajiri ni mzuri na Mungu kauweka lakini siyo kila mtu anaupata!
....
Kwahiyo huo mzigo wa dhambi ndiyo unataka unibebeshe mimi! Pombe zinapoteza mawazo temporarily tu lakini kwa wewe nakushauri tumia zile wine nyepesi nyepesi tu hizi vitu kama beer ama whisky ama spirit achana nazo kabisa!
....
Sasa kwani umeambiwa unakuja kibubububu mama? Si unaelekezwa kuanzia unapotoka hadi unapotakiwa kufika?
Hahaha wrong destination
Saint anne/ Altar wine is the best.Pombe nataka nijaribu ili nipunguze mawazo,ila bahati mbaya kila mlevi ninayemuuliza pombe nzuri kwa mimi kuanzia nayo,hataki kunielekeza..
Oh Asante Sana Depal[emoji4][emoji120]Saint anne/ Altar wine is the best.
Au Smirnoff black ice, very sweet.
Nyie binadamu nani kawaambia pombe inapunguza mawazo ?Yaani nina tatizo la kukosa hela unataka niongeze na tatizo jingine la ndoa??[emoji23]
Mwisho matatizo yaniue!!
Nikishapata hela labda nitafikiria kuolewa.
Ndoa ni nzuri tu,na ndiyo maana Mungu akaiweka.
Pombe nataka nijaribu ili nipunguze mawazo,ila bahati mbaya kila mlevi ninayemuuliza pombe nzuri kwa mimi kuanzia nayo,hataki kunielekeza..
Hadi mchumba wangu wa selfika amekataa kabisa [emoji23],anasema hataki kubeba dhambi.
Bora unielekeze wewe rafiki yangu.
Mweeee Yaani nije nikutembelee unataka nipotee??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naijua sehemu nilipofikia tu..huko kwingine ni kutaka kunipoteza mjini hapa.
Wewe unakunywa pombe?Nyie binadamu nani kawaambia pombe inapunguza mawazo ?
Toka nimezaliwa sijawai weka pombe kinywani mwangu.. na huu umri wangu naona ndio imetoka hiyoWewe unakunywa pombe?