Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Asante sana dada kwa kujali.Ukitaka kuzuru Kariakoo
Njoo nitakushika mkono
Utapata na pa kulala free (hotel)
Unaposoma.Ouyeaaaah karibu sana kwetu, kwani ni wapi hapa kwetu unapopajua?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh karibu sana kwetu, na karibu sana kwangu. Had weekend utakuwepo?Unaposoma.
Miaka ya nyuma kipindi dada yangu anafanya masters happy,nimezurura naye sana hapo..
Nilikuwa namshikia mtoto(mdogo).
Asante sana dada kwa kujali.
Nitakutafuta,,,siku nikija kutembea huko.
Shida yangu ni mtu(mwenyeji)wa kunitembeza tu huko kariakoo.. sehemu ya kulala(Kuishi) ipo,,,ila tupo wote si wenyeji.
Asantee [emoji4]Ooh okay Karibu sana
Nitakuwepo.Ooooh karibu sana kwetu, na karibu sana kwangu. Had weekend utakuwepo?
Usijari nitakufata kukuchukua, na nitakutembeza kidogo,Nitakuwepo.
Asante..
Na wewe karibu pia,inatakiwa uje kunichukua Sasa[emoji1].
Kwa Tanzania hii hakuna anayeamua kutokuolewa,basi tu inatokea.Sasa huko ni kukariri maisha
Siyo wote wenye umri huo na hawajaolewa basi ni "sizitaki mbichi hizi"
Kuna wengine nawajua ni wana wapenzi kabisa wanaotaka kuwaoa ila wao wanasema hapana bora waachane kuliko kuingia kwenye ndoa
Nimegundua ndoa wala siyo nature ila ni wabongo tu ndiyo tunalazimisha iwe nature mbona kwa wazungu kuna watu wanaishi tu bila ndoa na wana maisha mazuri yenye furaha
Na mtu kuamua kutokuoa au kutokuolewa ilikuwepo tangu enzi za biblia na hakuna andiko linalomkataza mtu kuwa single ili mradi tu asifanye uzinzi wa aina yoyote ile
Asante.Usijari nitakufata kukuchukua, na nitakutembeza kidogo,
Hee[emoji38]Hela tena ? Unataja sehemu uanyo enda kunywa tunalipa kwa mpesa tu.. [emoji3][emoji3]
Hii offer ni kwa ke pekee ama?[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Na siku mkiwa mkiwa free free, mniambie wote wapiga vyombo nitakuwa na offer yenu yaani special ya vyombo [emoji846][emoji846]
Fact!Kwa Tanzania hii hakuna anayeamua kutokuolewa,basi tu inatokea.
Kutokuoa kuna wanaoamua ,ila baadaye muda unavyozidi kwenda,,wanaanza kuwa na uhitaji.
Naona walevi mnatakatisha ulevi kwa kutumia mistari ya bibliaDepal
Mithali 31:6
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
Mithali 31:7
Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
Duh!Tuwe makini wakuu...haijalishi uko na Mjapani au Mzungu... Discovery 4 hio
View attachment 1843534View attachment 1843535
Asante mkuuTake care boss
Ka TPMS kasumbufu kumbeHaka kataa kapo kapo sanaaa.. naona kwenye crown nyingi kapo .. haka mie toka kitambo kapo japo tyre zote zimebadilishwa
RRONDO
View attachment 1842535
Alipona kweliTuwe makini wakuu...haijalishi uko na Mjapani au Mzungu... Discovery 4 hio
View attachment 1843534View attachment 1843535