Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa. Usalama kwanza. Uhai wako ni muhimu zaidi kuliko huko uendakoNilikuwa natembelea 180+ ila nikaacha, nikaamua nienjoy huu mkeka mdogo mdogo. Hamna competition huku.
Natembelea 140 sahivi
Kutokea singida huipati, labda kama wamerekibisha hivi karibuni mkeka wa maaba unaenda upata mbele huko babati kama umetokea singida kwenda mbeleHii ukiingia Singida unaikosa sio?
Hii wanauzi kweli yani, huu mchezo walikuwa nao dodoma pale unaianza chamwino.. nimesumbuana nao sana pale wananijua , siku kama mbili walinikufa kichwa kimewaka aaah! Ilikuwa shida .. na cha kushukuru haikupita wiki wakavunja kale kakizuio, wakabakija cha wale wa wazee wa mbele pale wanajielewa sana wale ma poti hadi rahaYeah...last time narudi Moro wamenisimamisha wakadai hadi Kadi ya gari...wtf
Hapo inabidi uwakilishe siku moja mkuu.. ukichafue cha kiutu uzimaHio inabidi Mjerumani ahusike.
KaribuSafii, jumatatu nipo hapo [emoji846][emoji846]
Ila huku chaka sansSafii, jumatatu nipo hapo [emoji846][emoji846]
Huko chaka, watu wanaishi mkuu 😀Ila huku chaka sans
Kazi ya Lodge sio kulala tu kaka.Silali
Huipati mkuu iyo ni from dom to babatiHii ukiingia Singida unaikosa sio?
Hii sawa na Nzega - Tabora mjini na pia sawa na Tabora mjini to ItigiAisee! 70km bila tuta wala tochi?
Sgd to bbt ni hovyo mkuu tuta za kutosha acha power tiller na ile mikokoten ya kuvutwa na wanyama!Kutokea singida huipati, labda kama wamerekibisha hivi karibuni mkeka wa maaba unaenda upata mbele huko babati kama umetokea singida kwenda mbele
Pia from magu to bariadi kuna keka la maana kwa hisani ya world bank hakuna tuta ht mojaHii sawa na Nzega - Tabora mjini na pia sawa na Tabora mjini to Itigi
Na mbele ya kahama kule , ukiwa unaenda chato.. kule unatembea kabisa hata 300kmhPia from magu to bariadi kuna keka la maana kwa hisani ya world bank hakuna tuta ht moja
Hizi ndizo barabara za kwenda. Sema kuna lile pori mbele ya Ushirombo sijui, kuna utekaji, ama siku hizi haupo?Na mbele ya kahama kule , ukiwa unaenda chato.. kule unatembea kabisa hata 300kmh
Mkuu hiyo barabara tamu sanaa nilitoka dom kwenda kondoa wiki iliyopita nilifurahi sana maana mwendo ni 180 narudi 160 yaani tuta nimekuja kulikuta karibu na kondoa tena unapunguza kidogo tu kama 100 hivi unapotea nilitumia saa moja na robo kutoka dom mpk kondoa.Dom to Kondoa. Yani hilo tuta liko ukiwa unakaribia kabisa Kondoa. Humo kati kote kweupe
Utekaji kwa sasa hivi hamna mkuu, jeshi lilifanya majukumu yakeHizi ndizo barabara za kwenda. Sema kuna lile pori mbele ya Ushirombo sijui, kuna utekaji, ama siku hizi haupo?
My fave road, umeona ilivyo tamu eeh, askari waliopo ni barrier tu pale Zamahero-Zanka nafikiri otherwise ni kulaza mshale tu af hakuna traffic flow kabisa, njia ya hivi yafaa zaidi mchana tho usiku waweza ozea chaka ukipata breakdown [emoji4][emoji4]