Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Range rover mkuu. Taa zinamulika zaidi ya 500m mbele ila zikisense mwanga mwingine unakuja(gari) zinajipunguza zisimuumize anaekuaja.
 
Hivi Prado TX zinatumia engine gani
 
Niliiona moja ya ubalozi wa Sweden V6 GX nilishangaa sana. Ni 4.0L 1GR-FE V6
 
Wakuu kwa anaetaka abiria nipo hapa, Dar-Arusha tarehe 24/12. Tutachangia kidogo mafuta, story za hapa na pale zitakuwa za kutosha. Ikitokea dharula ya kubadilisha tairi au yyt tutasaidiana ingawa mimi sy fundi.

Nichek chemba kwa mwenye uhitaji.
 
Naona tochi zimeanzia hapahapa mjini hivyo mnaotarajia kuanza trip muwe makini na kuwafaidisha hawa jamaa......asb hii nimewakuta njia ya Tegeta kati ya skanska na jkt ( pale kuna kibao cha 60) nafika huku kibada nimewakuta wengine wametega
Ilo eneo toka kitambo wanachapa tochii
 
Huwa sitoi lift, nakuwaga na redbul, mapakiti ya sigara na milaaa na maji yangu 😀😀😀.. nazima na mziki ili kupata utulivu.. au kama na mzuka nachapa country
 
Kwenye mafuta ipo vizuri Sana.
Mimi kwenye bike napenda iwe na mfumo wa valve 4 kwenye injini,sio kama hizi tulizoea zenye valve 2 (inlet 1, exhaust 1).

Napenda sound kubwa ya injini kuanzia 200cc na kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…