Kazi ipoNaona tochi zimeanzia hapahapa mjini hivyo mnaotarajia kuanza trip muwe makini na kuwafaidisha hawa jamaa......asb hii nimewakuta njia ya Tegeta kati ya skanska na jkt ( pale kuna kibao cha 60) nafika huku kibada nimewakuta wengine wametega
Range rover mkuu. Taa zinamulika zaidi ya 500m mbele ila zikisense mwanga mwingine unakuja(gari) zinajipunguza zisimuumize anaekuaja.New RR Beam ndio zinakuwaje mkuu? Usiku unaona mbele mita 500?!!
Ni bulb tu? Ama zinauzwa taa yote complete?
Ama New RR = New Rolls Royce ? 😁
Napenda sana lights kali usiku ili kuwajibu mafuso wenye akili mbovu, wale jamaa wanawasha full muda wote!!
Hivi Prado TX zinatumia engine ganiHamna LC yenye 6 kwenye 200 series! Zote ni V8 tofauti inakuja kwenye Trim tu na fuel type.
GX ni mnyama sana, solid axle mkali wa all-terrain.
Engine ya Diesel ni 1VD-FTV ipo 200 series na kwenye LX 70 series mpya hizi. Engine ya Petrol ni 3UR-FE ama 3UZ hizi zipo kwenye 200 mpaka 100 series.
2TR-FE mrembo wangu, mle burudani nayopenda ni kale kamluzi kanakotoka kwenye exhaustHivi Prado TX zinatumia engine gani
Kwa kweli mkuu! Wengine kwa sasa wacha tupambane kwanza na vi IST na vi Passo tu!wengi twazipenda,ila bei yake sasa ndio hatufiki
Aiseee! Wacha tupambane tu!2TR-FE mrembo wangu, mle burudani nayopenda ni kale kamluzi kanakotoka kwenye exhaust
Kwa nini baadhi ya watu wameacha makeke barabaraniKausha basi...Umeelewa nn kwanza? [emoji2309]
Niliiona moja ya ubalozi wa Sweden V6 GX nilishangaa sana. Ni 4.0L 1GR-FE V6Hamna LC yenye 6 kwenye 200 series! Zote ni V8 tofauti inakuja kwenye Trim tu na fuel type.
GX ni mnyama sana, solid axle mkali wa all-terrain.
Engine ya Diesel ni 1VD-FTV ipo 200 series na kwenye LX 70 series mpya hizi. Engine ya Petrol ni 3UR-FE ama 3UZ hizi zipo kwenye 200 mpaka 100 series.
hahahaaa...imeisha hiyoKwa nini baadhi ya watu wameacha makeke barabarani
hamna namna siku moja tutaishi mleAiseee! Wacha tupambane tu!
Range rover mkuu. Taa zinamulika zaidi ya 500m mbele ila zikisense mwanga mwingine unakuja(gari) zinajipunguza zisimuumize anaekuaja. View attachment 1656738
Kuna yale mataa wanaita ya busta sema nayaonaga ya hovyo tuOkay mkuu. Kwenye hizi gari zetu za kawaida, ni bulb gani ama taa gani on the market zenye mwanga mkali zaidi?
Ahaa basi itakuwa walifanya special order. Huwa Prado TX ndio zina 1GR-FE V6 au 2TR-FENiliiona moja ya ubalozi wa Sweden V6 GX nilishangaa sana. Ni 4.0L 1GR-FE V6
Bi-xenon lights....hizi zina booster nzuri ikiwa imekuja na gari. Wapo wanazifunga hapa hapa ila zinakuwa na changamoto baada ya mudaOkay mkuu. Kwenye hizi gari zetu za kawaida, ni bulb gani ama taa gani on the market zenye mwanga mkali zaidi?
Ilo eneo toka kitambo wanachapa tochiiNaona tochi zimeanzia hapahapa mjini hivyo mnaotarajia kuanza trip muwe makini na kuwafaidisha hawa jamaa......asb hii nimewakuta njia ya Tegeta kati ya skanska na jkt ( pale kuna kibao cha 60) nafika huku kibada nimewakuta wengine wametega
Huwa sitoi lift, nakuwaga na redbul, mapakiti ya sigara na milaaa na maji yangu 😀😀😀.. nazima na mziki ili kupata utulivu.. au kama na mzuka nachapa countrymm yalishanikuta nimempa lift pisi kali kumpandisha mgombani toka Dar
Timing belt ikakata Makanya, mpaka kuja kugundua ni yenyewe saa nzima pisi niliyempa lift naye kapewa lift na majaamaa mpaka Same, ili wanitumie fundi wa injini kufungua cover waipate camshaft ili niondoke na sample au no. zake
Namkuta pisi keshalewa hatambui lolote eti kaniletee mizigo yangu asepe gari yangu mbovu.
km masaa 8 nikawa barabarani tena saa 2 usiku namkuta Same ni mzigo bora nikawa km wale madereva wa magari ya nyonya choo kweli wavumilivu, usiku nikamfikisha kwao, sitoi lift tena kwa hawa watu, hata pancha hainami?
Kuchuma tembeleSasa ainame kufanya nini jaman?[emoji23]
Kwenye mafuta ipo vizuri Sana.Hizo za 5M ni brand new 200cc mkuu. Mhindi kazipatia hizi bike: Ziko njema mkuu, zinahimili mikiki. Hazifi hovyo, na zinatengenezeka. Bike yangu ina 52000km mileage. Major repair niliyofanya ni replacement ya valves at 47000km
Efficiency ni 30kmpl highway