Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Daah Aise
IMG-20201222-WA0002.jpg
IMG-20201222-WA0001.jpg
 
Kipande cha kutoka SHY to Mwanza, mkeka upo vizuri?

Nilipita usiku mwaka jana hiyo njia. Kuna mashimo ya hatari katikati mwa road. Nilijuta kupita hiyo njia. Nilifika Mwanza nasonya sana na kuwatukana Tanroad matusi yote!!
Wamejaribu kuziba baadhi ya mashimo ila kuna mengine mapya makubwa na ni hatari sana
 
Back
Top Bottom