Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Safi sana, hii ni zaidi ya bike.Bmw r1200gs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana, hii ni zaidi ya bike.Bmw r1200gs
Tochi ulipigwa na Giza?Nimetoka Dar saa 10 alfajiri now nipo Dom ila nilipita njia ya msoga kufika msata napigwa tochi aise jamaa wanakusanya za kubrashia viatu ni balaa hawapokei buku 5 ni kuanzia 10 na kuendekea.View attachment 1657468
Ndio mkuu yaan jamaa wanakusanya pesa kama vikoba.Tochi ulipigwa na Giza?
Ndio Raha ya kuondoka asubuhi sana, unafika MAPEMA bila stressNimetoka Dar saa 10 alfajiri now nipo Dom ila nilipita njia ya msoga kufika msata napigwa tochi aise jamaa wanakusanya za kubrashia viatu ni balaa hawapokei buku 5 ni kuanzia 10 na kuendekea.View attachment 1657468
Kweli kbc hata ule usumbufu wa askari sio mkubwa mida hiyo.Ndio Raha ya kuondoka asubuhi sana, unafika MAPEMA bila stress
Wamejaribu kuziba baadhi ya mashimo ila kuna mengine mapya makubwa na ni hatari sanaKipande cha kutoka SHY to Mwanza, mkeka upo vizuri?
Nilipita usiku mwaka jana hiyo njia. Kuna mashimo ya hatari katikati mwa road. Nilijuta kupita hiyo njia. Nilifika Mwanza nasonya sana na kuwatukana Tanroad matusi yote!!
Polen sn kk!Dah kuna jamaa alipata ajali mbaya juzi ndio tunamshughulikia Aga Khan pale maana hana muangalizi.
asante mbeePolen sn kk!
Wazee wa vigogo wanakuaga mapori ya Kati ya Chalinze na Mikese...pia njia ya Moshi wapo baada ya Mombo-Hedaru-Makanya.Kweli kbc hata ule usumbufu wa askari sio mkubwa mida hiyo.
wameniacha aiseeDuh pisi kali kweli wanakuacha?!!