Nimepita hiyo Road juzi tu usiku. Kwakweli sijaona kona yaku tisha. Ni kona za kawaida mno. Mm naona barabara ni ya kawaida kwa mwenye pumzi zake inaruhusu kufungua pump.mkuu kuna a lot of corners zenye blind spot au sisi wengine tunapita njia tofauti?
plus ubovu wa barabara kabla ya lile daraja lililokatika. kwa gari kama subaru cross sports huwezi kwenda na 160km/hr kwene mawimbi and mashimo tena safari ya usiku.
Kimeumanaaaaah.
Watu watembeze vyumaaa, mguu ekseleta mguu breki, jicho side mirrors jicho driving mirror jicho dashboard uone kama mzungu 'anakusemesha' jamboooNimepita hiyo Road juzi tu usiku. Kwakweli sijaona kona yaku tisha. Ni kona za kawaida mno. Mm naona barabara ni ya kawaida kwa mwenye pumzi zake inaruhusu kufungua pump.
Trekta huwa tunazibua hadi zina ama njia.. chuma kinapitamkuu goti ni from gairo to dodoma hio nakubaliana nalo huku ukiombea usikutane na trekra zisizo na tail lights.
mkuu mimi trips za dom-dar-dom ni after every 2 weekends sio kwamba nimepita mara moja and natumia ACA38W ila nikijitahidi sana ni 5hrs n 40 minutes. Dom kutoka saa 11 jioni fridays then sundays dar natoka mida ya saa 11 jionj pia. Maybe uyo mtu anaetumua 4hrs anatembea saa nane ya usiku.Nimepita hiyo Road juzi tu usiku. Kwakweli sijaona kona yaku tisha. Ni kona za kawaida mno. Mm naona barabara ni ya kawaida kwa mwenye pumzi zake inaruhusu kufungua pump.
[emoji1787][emoji1787]Trekta huwa tunazibua hadi zina ama njia.. chuma kinapita
mkuu mimi trips za dom-dar-dom ni after every 2 weekends sio kwamba nimepita mara moja and natumia ACA38W ila nikijitahidi sana ni 5hrs n 40 minutes. Dom kutoka saa 11 jioni fridays then sundays dar natoka mida ya saa 11 jionj pia. Maybe uyo mtu anaetumua 4hrs anatembea saa nane ya usiku.
Note pia dar to dom road ina malorry mengi tofauti na njia kama dar to arusha.
Hii location ni amazing....sometimes unaangalia uwekezaji wa mtu na Ku admire tu.Na jioni nikafikia hapa kidogo kuosha macho View attachment 1860180
Jamaa wanaangalia hio sedan like wtf is going on here?!Leo nimekichafua barabarani.. STL na STK pamoja na SU tumelazana hoi.. mwendo ilikuwa speed ya chini 180 - 240 kmh 🙂🙂
View attachment 1860175
Leo nimekichafua barabarani.. STL na STK pamoja na SU tumelazana hoi.. mwendo ilikuwa speed ya chini 180 - 240 kmh 🙂🙂
View attachment 1860175
Watu wachokozi sanaaa.. ila leo tu siku ingine sikimbizi tena gari, nitaweka kidhibiti mwendo yaani mwisho 80kmhPlease....
At times think about people who likes to see you do more road trips, especially me...
Nisiisemee miiyo ya watu wengine, binafs mbali na wakupendao kwa ukaribu familia ndugu jamaa na marafiki...
Sikuombei mabaya ila hiyo spidi 240 hadi nimepata goose pimples....!
Please think about yourself, na ukitaka ujue watu walio nawe kwenye maisha yako bega kwa bega, pata matatizo/ umwa muda mrefu uone.
Please stay safe, a granny outer here cares.
🥂.
Wape hi hapo cate Hotels.
Kweli, unatakiwa kuwa mkali..Road Trippers kwema?
Wale wanaokuwa kama abiria, hasa siti ya mbele pembeni ya dereva (kwa magari madogo), nawaombeni sana, sana, msiweke miguu juu ya dashboard.
Barabarani humu lolote laweza kutokea. Likitokea na airbag ikafyatuka, ina force ya kutosha kuvunja miguu worst case scenario. Ni heri airbag ifyatukie uso.
Safe wandering.
Aaah! Kigari huwa kimekaa kibabe sana, kimevimba ni rahisi sana kukishangaa hasa kikiwa mafuta 😀😀Jamaa wanaangalia hio sedan like wtf is going on here?!
😂😂😂 Kuna mtu alikuchokoza?!! Yaani unatoka nyumbani unajisemea leo mwisho 140kph mara anatokea mtu na truck yake analeta dharau!Watu wachokozi sanaaa.. ila leo tu siku ingine sikimbizi tena gari, nitaweka kidhibiti mwendo yaani mwisho 80kmh
Pisi ndio zina mambo hayo na matozi wao wanaona sifa wanawaruhusu.Road Trippers kwema?
Wale wanaokuwa kama abiria, hasa siti ya mbele pembeni ya dereva (kwa magari madogo), nawaombeni sana, sana, msiweke miguu juu ya dashboard.
Barabarani humu lolote laweza kutokea. Likitokea na airbag ikafyatuka, ina force ya kutosha kuvunja miguu worst case scenario. Ni heri airbag ifyatukie uso.
Safe wandering.
Umalize kisahani usiku?! Utakutana na kicheche na kuishia kujificha mvua usiokuwepo!Nguvu unazotumia kuendesha gari usiku ni mara mbili ya nguvu utakazotumia mchana....!!!
Jambo la muhimu sana usiku ni Taa, na uwe unaijua barabara, isiwe ngeni kabisa kwako...
Kama ni barabara ngeni, uwe na mtu pembeni anakusomea vibao vyote, wakati we umemaliza kisahani.
Imebidi nicheke tu mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huu ushauri ni sawa na kumwambia mtu aungie mboga mafuta ya petroli kwa sababu ya alizeti ni bei ghali kwa sasa!😅😅😅😅Ist new model ni shidaaa.. inachanganya haraka sana.. hutojutia mkuu na ulaji wake wa wese inanusa tu, balance imo ya kutosna kama RR culli ya dimond na hata ndani ipo sex sana.. chukua chombo.. crown hazina balance kidogo inaanza tetema