b4theg
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 356
- 1,208
Nimepita hiyo Road juzi tu usiku. Kwakweli sijaona kona yaku tisha. Ni kona za kawaida mno. Mm naona barabara ni ya kawaida kwa mwenye pumzi zake inaruhusu kufungua pump.mkuu kuna a lot of corners zenye blind spot au sisi wengine tunapita njia tofauti?
plus ubovu wa barabara kabla ya lile daraja lililokatika. kwa gari kama subaru cross sports huwezi kwenda na 160km/hr kwene mawimbi and mashimo tena safari ya usiku.