Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Safi sana mchumba,,, hii ndio mambo ya maana sasa nitaku add kwenye group la team cruiser 😅😅😅!

Umeichambua vyema V8 ila sasa kwa toleo waliotoa sasa la 410HP V6 kitakachotokea sasa Dom watakuwa wanatumia 3 hours! Ni V6 iliochangamshwa na turbos Toyota hana mchezo yani hata ile Y62 inakalishwa!
 
Ukiona hio hali ni muhimu kujiwahi na energy drink + water! Dilute energy drink na maji kunywa glass nzima ya fasta usingizi ungekata
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeh!!

Ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitoboa tank wakati narudi 😅 nikaua bush kama zote basi gari chini huko inapiga vigeregere kama hiace mbwa kachoka zile! Nafika mbalizi nikashusha Tank na kuziba hizo Tire moja ikakata uzi nikafunga jingine jipya!

Ile njia niliambiwa shortcut ila ilikuwa wrong cut bora ningezungukia chunya mpaka Saza
 
3.Arusha- Manyara,Babati hio ni kama Autobahn kibongo bongo 😂😂😂! Kimsingi highway zote zilitakiwa ziwe namna ile sio mituta kila mahali!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…