Wazee wa โ€˜Road Tripโ€™ mpo?

Wazee wa โ€˜Road Tripโ€™ mpo?

Mimi sikuhizi nimeacha kumaliza kisahani enzi zile wakati sijaoa sina watoto kweli nilikuwa napenda sana ligi. Siku hizi naenda speed max 140. huwa nawaza watoto nikivuta nani atawalea. basi najikuta nakuwa mpole tu. ila kama nimepata simu ya dharura nikaitwa mkoani matumizi ya dashboard yanabadilika speed inahitajika pale tu inapotakiwa kweli mm kukimbia
 
Mimi sikuhizi nimeacha kumaliza kisahani enzi zile wakati sijaoa sina watoto kweli nilikuwa napenda sana ligi. Siku hizi naenda speed max 140. huwa nawaza watoto nikivuta nani atawalea. basi najikuta nakuwa mpole tu. ila kama nimepata simu ya dharura nikaitwa mkoani matumizi ya dashboard yanabadilika speed inahitajika pale tu inapotakiwa kweli mm kukimbia
Ukiwa na familia au watu wanakutazama ni muhimu hilo
 
Mimi sikuhizi nimeacha kumaliza kisahani enzi zile wakati sijaoa sina watoto kweli nilikuwa napenda sana ligi. Siku hizi naenda speed max 140. huwa nawaza watoto nikivuta nani atawalea. basi najikuta nakuwa mpole tu. ila kama nimepata simu ya dharura nikaitwa mkoani matumizi ya dashboard yanabadilika speed inahitajika pale tu inapotakiwa kweli mm kukimbia
140kph ndio mwendo elekezi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Na jioni nikafikia hapa kidogo kuosha macho View attachment 1860180
Naam
Kangaroo-Restaurant.jpg
Cate-Hotels.jpg
Kingolwira-Morogoro.jpg
 
Kuna watu wanaamini sana vyombo vyao na maneno ya mitaani. Kabla ya huyo wakati niko njia ya Msata Bagamoyo nyuma yangu ikatokea gari inataa nzuri ananiflash,kawaida kuna taa nikiziona najua sio gari ya kipuuzi nikampisha na fujo zake! Kuangalia ni Hilux mpya D4D nikajisemea hunijui wewe. Nikaanza kumtafuta dakika mbili niko takoni na indicator ya kulia,akakaza nikakandamiza mguu nikakaa kulia. Kuna down fulani kabla ya Msata njia imebonyea kiaina inarusha sana magari, pick up ilirushwa jamaa akawahi breki,nikapita hapo hapo na bumps zake na 160kph nikapotea kaja kunikuta Wami njia ina mawimbi nabembeleza gari huku mbele kuna malori, akapita baada ya daraja pale unapandisha hivi.
Nikapata upenyo nikaanza kumtafuta,njia pale imenyooka na up and down fulani amazing, dakika mbili nyingi nina kama 170 namuona yule Hilux inatoa moshi tu, mita 50 nyuma nikakaa kulia na nimewasha indicator nikawaambia abiria hio Hilux itatoa moshi hadi iungue mimi napita hapo alikuja kunikuta mkata tunakula nyama. Kifupi yule kijana wa kiarabu na wenzie walikuja kunisalimia tukaongea sana kuhusu magari, sasa hivi ana 2011 audi a4 na 2010 range rover sport sdv6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti dakika mbili niko takoni

Ligi raha sana
 
Back
Top Bottom