Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
😀😀😀😀😀 Upo vizuri pia sanaaa..Kweli Mwalimu nimejifunza kwa mfano [emoji120]
Nikafuta machozi, mbele ninaendelea.
Yale mahubiri uliyonihubiria naona umeyafanya kwa vitendo,,hiyo ndiyo Imani Sasa[emoji106]
Ila kiwango Cha Imani yako bado sijakikaribia japo robo[emoji4][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta comment ipo kule juu kabisa lakini jamaa anakuja kutoa jibu lake huku chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], analusha jiwe gizani tu
😀😀😀 mwingine kazoea hivyoUnakuta comment ipo kule juu kabisa lakini jamaa anakuja kutoa jibu lake huku chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna namna naenjoy hii style.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri ya wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Upo vizuri pia sanaaa..
Ndiyo ndiyo boss.[emoji3][emoji3][emoji3] mwingine kazoea hivyo
Naona ile ilikula kwake 😀😀😀😀Ndiyo ndiyo boss.
Japo niliona imeleta changamoto,alimtafuta Hornet kuhusu gari ila hakumtag Wala kuquote..
Hornet sidhani kama aliona.
Sent using Jamii Forums mobile app
🙂🙂🙂🙂 Tuishi kwa vitendo. Mungu huwa mwema kila siku na anapo ruhusu jambo litokee anabaki kuwa Mungu mkuu mwenye upendoVizuri ya wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kidogo nimepunguza maumivu baada ya kuona ulivyohandle.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona ile ilikula kwake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Au kwake haipo sehemu ya ku quote huwezi jua 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo
Na baadaye alimwambia Hornet kwamba alimtafuta.Alitumia tena style hiyohiyo ya bila kuquote wala kutag[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli simu ndogo zina zinguaga sana#Saint Anne Now natumia simu ndogo haina uwezo wa 'kuquote'. Kila nikiquote ule ujumbe unagoma.
Hakika[emoji120][emoji846][emoji846][emoji846][emoji846] Tuishi kwa vitendo. Mungu huwa mwema kila siku na anapo ruhusu jambo litokee anabaki kuwa Mungu mkuu mwenye upendo
Kumbe ndiyo maana,#Saint Anne Now natumia simu ndogo haina uwezo wa 'kuquote'. Kila nikiquote ule ujumbe unagoma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au kwake haipo sehemu ya ku quote huwezi jua [emoji3][emoji3][emoji3]
Basi yangu inanihurumia tu eeh! [emoji848]Ni kweli simu ndogo zina zinguaga sana
Nawe utapata iPhone 14 pro max .. alhamisi jiandae trip 🙂🙂🙂..kurudi jumatatuBasi yangu inanihurumia tu eeh! [emoji848]
Maana ni kidogoo[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh!unaninunulia ambayo bado haijatoka[emoji38]Nawe utapata iPhone 14 pro max .. alhamisi jiandae trip [emoji846][emoji846][emoji846]..kurudi jumatatu
Hiyo mboni haitoguswa.. itakuwa salama tu.. hata kwa trip ya geita itapendeza 😀😀Eeeh!unaninunulia ambayo bado haijatoka[emoji38]
Fanya iwe Samsung Galaxy s21.
.
.
.
Trip iwe fupi fupi,si unajua bi mkubwa[emoji6]ananichunga kama mboni[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua kabisa haitaguswa, itakuwa salama ila woga wake yeye ni safari tu.Hiyo mboni haitoguswa.. itakuwa salama tu.. hata kwa trip ya geita itapendeza [emoji3][emoji3]
Nakuona mpendwa 😉Mrembo