Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Moyo unaweka wese kwenye gari?Safari ni safari.. zamani tulikuwa tunasafiri kwa miguu na wapenzi wetu.. tunaenda kula bata porini.. ilo bata lenyewe la porini sasa.. acha matunda mwitu, mnarudi hoi.. ila maisha yalikuwa mazuri sanaaa.. haikuhitaji pesa ni moyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app