Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

"Kujiendea Kama bata"

🤣🤣🤣🤣

Kila mtu na vipaumbele vyake nakubali. Kuna wengine kusafiri safiri haiko damuni, huyu mtu hata awe na mapene bado ataona akisafiri let say kuna upotevu ataufanya (muda na pesa)

Kuna mwingine akishika tu pesa yule asharuka magoroto. Hata kama zitaisha, kesho atatafuta nyingine.
Vipi twende mogoroto ?
 
Moyo unaweka wese kwenye gari?

Sent using Jamii Forums mobile app
Damu ndio wese, nyie wa siku hizi ndio hamjui haya mambo.. sie tulikuwa tunasafari kwa miguu KM kadhaa .. kwenda kutazama mazingira na kufurahia mazingira, kama kuna shamba huko mnalala mnarudi siku ingine.. maana mnakuwa mmechoka kwa mwendoo.. alafu nyie wa sasa tukiwatembeza km 100.. mtaongea sanaaa na mtatungaza
 
Damu ndio wese, nyie wa siku hizi ndio hamjui haya mambo.. sie tulikuwa tunasafari kwa miguu KM kadhaa .. kwenda kutazama mazingira na kufurahia mazingira, kama kuna shamba huko mnalala mnarudi siku ingine.. maana mnakuwa mmechoka kwa mwendoo.. alafu nyie wa sasa tukiwatembeza km 100.. mtaongea sanaaa na mtatungaza
Kwahiyo unakubaliana na kauli yangu kwamba pesa ni stimulus ya safari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasomeka Gairo hapa..

Nina trip ya chato to mwanza kupumzika tu, Naiaza jumatatu, kuanzia Dodoma nalala siku moja, then naenda Tabora nalala siku mbili, alafu chato then mwanza, chato sijawahi vutiwa kulala hata siku moja
Umenikumbusha chato mkuu. Aisee jina kubwa jidanganye ufike sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847]
20210727_232630.jpg
 
Sina Shaka wadau wengi wa Road trip wanao fika hili eneo itakua tumeonana ila tu hatujuani haha...muwe makini mkishapata ugimbi wengi mnaingiaga barabarani hovyo nahiyo ni barabara kubwa mbaya sana usiku magari yanafunguka kutoka kwenye mataa na kutokea kisasa.
Mabaunsa wa pale wapu.mbavu sana, ipo siku kuna mmoja nitamuundia zengwe.. kuna siku wamenigomea kuingia kisa nipo na ka dogo wakajua sie ni wafunzi.. mabaunsa ya pale ni kama maroboti hayana akili 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom