Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna pesa huwezi ukasafiri,hilo lipo wazi .Tunarudi kule kwenye priorities.
Hujawahi sikia mtu ni heri ale ugali mchicha ili tu simu yake isiishiwe bundle? Au anapiga pasi ndefu ili ajitimizie kitu flani mbele?
Cha ubishi basi tu'conclude hivi haya mambo ni 50/50. Kuna mwingine anapenda kusafiri ila pesa hana, mwingine anazo ila hapendi. Mwingine anapenda na pesa zake ni ndogo ila atajibana mpaka ajitimizie vile roho inataka.
Sio wote wanaosafiri ni matajiriNdiyo maana nimesema wanaosafiri wote ni matajiri japo si matajiri wote wenye hobby ya kusafiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kwako utajiri ni nini tuanzie hapoKama huna pesa huwezi ukasafiri,hilo lipo wazi .
Huwezi linganisha elfu moja ya bando na pesa ya nauli tu ya bus ama ya kunywa kahawa hapo cate hotel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wa kufanya mambo.Kwani kwako utajiri ni nini tuanzie hapo
Dah dadaangu mbona unaniangusha sana
Nimedefine kwa mujibu wa ninachokitetea[emoji1787]Dah dadaangu mbona unaniangusha sana
We unauelezea vipi utajiri?Dah dadaangu mbona unaniangusha sana
Hapo Safi, Uzi ukipoa kidogo unabustiwa tu kichokozi namna hiyo.Nimedefine kwa mujibu wa ninachokitetea[emoji1787]
Pia nachamsha tu uzi usiwe idle.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo,Hapo Safi, Uzi ukipoa kidogo unabustiwa tu kichokozi namna hiyo.
Nakusalimu kwa jina la "jamhuri ya road"We unauelezea vipi utajiri?
🙂🙂 hapa nachagua bugatti centodieci, hii tunahamia kabisa kwenye league na ndege zinapotaka kupaa
Nzuri hapo first class inanogaSijui za TRC ila TZR wanajitahidi vibe kama lote hasa mkikutana kwa buffet
Haya maisha ni kula bata tu, ukiumiza kichwa ndio hufiki.. mambo hukaa auto yeyenyewe na kukuta kuna force inakuambia sasa ni mda wako wa kufanya kitu X ?Hapo ndio hua tunafeli lakini hoby na kuchagua vipaumbele ndio maana nchi za watu wanasomo kabisa linaitwa Life Choice, sasa ukijiendea kama bata haijalishi unazo au hauna usiku unakukuta bado uko njiani na safari bado
Safari ni safari.. zamani tulikuwa tunasafiri kwa miguu na wapenzi wetu.. tunaenda kula bata porini.. ilo bata lenyewe la porini sasa.. acha matunda mwitu, mnarudi hoi.. ila maisha yalikuwa mazuri sanaaa.. haikuhitaji pesa ni moyo tuKuna watu hata mlo tu wanaunga,unadhani wanaweza kupata nguvu za kuunga kusafiri?
Sent using Jamii Forums mobile app