Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Na Kuna jambo unaweza kulifanya mara nyingi mpaka likakupelekea kuwa ni hobby......binafsi sikuwa na hobby ya kusafiri safiri ila kazi ilinifanya kupenda kusafiri na mpaka leo road trip imegeuka kuwa hobby miongoni mwa nyingine nilizonazo
 
Tunarudi kule kwenye priorities.

Hujawahi sikia mtu ni heri ale ugali mchicha ili tu simu yake isiishiwe bundle? Au anapiga pasi ndefu ili ajitimizie kitu flani mbele?

Cha ubishi basi tu'conclude hivi haya mambo ni 50/50. Kuna mwingine anapenda kusafiri ila pesa hana, mwingine anazo ila hapendi. Mwingine anapenda na pesa zake ni ndogo ila atajibana mpaka ajitimizie vile roho inataka.
Kama huna pesa huwezi ukasafiri,hilo lipo wazi .

Huwezi linganisha elfu moja ya bando na pesa ya nauli tu ya bus ama ya kunywa kahawa hapo cate hotel.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja ya kufosi trip aisee... nshakaa sana mjini

Holy Man unasomeka wapi?
Holy Man chagua chuma cha kutawala barabara za Minazini

20210727_181435.jpg
 
Hapo ndio hua tunafeli lakini hoby na kuchagua vipaumbele ndio maana nchi za watu wanasomo kabisa linaitwa Life Choice, sasa ukijiendea kama bata haijalishi unazo au hauna usiku unakukuta bado uko njiani na safari bado
Haya maisha ni kula bata tu, ukiumiza kichwa ndio hufiki.. mambo hukaa auto yeyenyewe na kukuta kuna force inakuambia sasa ni mda wako wa kufanya kitu X ?
 
Kuna watu hata mlo tu wanaunga,unadhani wanaweza kupata nguvu za kuunga kusafiri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Safari ni safari.. zamani tulikuwa tunasafiri kwa miguu na wapenzi wetu.. tunaenda kula bata porini.. ilo bata lenyewe la porini sasa.. acha matunda mwitu, mnarudi hoi.. ila maisha yalikuwa mazuri sanaaa.. haikuhitaji pesa ni moyo tu
 
Back
Top Bottom