Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Vipi twende mogoroto ?
 
Moyo unaweka wese kwenye gari?

Sent using Jamii Forums mobile app
Damu ndio wese, nyie wa siku hizi ndio hamjui haya mambo.. sie tulikuwa tunasafari kwa miguu KM kadhaa .. kwenda kutazama mazingira na kufurahia mazingira, kama kuna shamba huko mnalala mnarudi siku ingine.. maana mnakuwa mmechoka kwa mwendoo.. alafu nyie wa sasa tukiwatembeza km 100.. mtaongea sanaaa na mtatungaza
 
Kwahiyo unakubaliana na kauli yangu kwamba pesa ni stimulus ya safari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasomeka Gairo hapa..

Nina trip ya chato to mwanza kupumzika tu, Naiaza jumatatu, kuanzia Dodoma nalala siku moja, then naenda Tabora nalala siku mbili, alafu chato then mwanza, chato sijawahi vutiwa kulala hata siku moja
Umenikumbusha chato mkuu. Aisee jina kubwa jidanganye ufike sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Mabaunsa wa pale wapu.mbavu sana, ipo siku kuna mmoja nitamuundia zengwe.. kuna siku wamenigomea kuingia kisa nipo na ka dogo wakajua sie ni wafunzi.. mabaunsa ya pale ni kama maroboti hayana akili 🙂🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…