[emoji23][emoji23][emoji23]Duh gari yako inatumia upepo? Au jua?
Hiyo thate tayari wewe ni tajiri.Haifiki 30,000/- sasa usiniambie 30,000 kuwa nayo inabidi uwe tajiri.
Oohh basi kumbe wanavyotuita nchi masikini wanatukosea sana inabidi tuwe kwenye list ya nchi tajiri za dunia ya kwanzaMtu hadi ameweza kulipa nauli ya kwenda Moshi na kurudi au kujaza mafuta kwenye gari huyo tayari ni tajiri.
Wewe ni tajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko poa kwa matumizi ya mjini na safari za hapa na pale.Ushauri kaka kabla jamaa yangu hajakaa humo,kaiona sehemu iko sokoni,safari na comfy imo humo au hamna kitu?
View attachment 1871205
Kwani lazima mtu aishie pale pale borderNdiyo maana nimesema labda trip ya kuvuka ule mto songwe ambao dakika 2 tu unafika ng'ambo ambayo ni Malawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajakosea..Oohh basi kumbe wanavyotuita nchi masikini wanatukosea sana inabidi tuwe kwenye list ya nchi tajiri za dunia ya kwanza
Kumbe anaendelea mbele zaidi!Kwani lazima mtu aishie pale pale border
Duuh kazi kweli kweli TZ11 maana yake miguu mamaYaani unatamka elfu 11 tu!
Tayari wewe nj tajiri.
Watu wanaishi chini ya 1USD per day.
Yule wa kutembea kwa mguu si alikuwa anatafuta sifa,hivi kwamba hamkumgundua?
Muulizeni Mikumi alipitaje.
Hela ikishakuwa ya mawazo mtu hawezi kuiunguza tena kwenye nauli.
Yaani kula ale kwa shida,halafu ajilipue tena kuchoma nauli eti anaenda kutembea!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jichange tu then unafumba macho.Flower vessels dah nazihitaji ila natamani natural flowers
Nimechek bei insta kiua kidogo 45,000
Nimebakia Dillema
Ikishakuwa kufanya kwa sifa tayari hiyo siyo hobby..na Mimi naongelea kusafiri kama hobby.Duuh kazi kweli kweli TZ11 maana yake miguu mama
Halafu hauwezi kujiita tajiri kwa kuwa eti una elfu kumi na mwingine hana yaani utajiri haujawahi kupimwa kwa njia hiyo hata siku moja
Yaani ni sawa uwaweke vilema wawili mmoja hana miguu tu na mwingine hana miguu na mikono halafu uanze kumuambia yule ambaye hana miguu tu kuwa yeye siyo kilema eti kwa kuwa kuna mwingine hana miguu na mikono kabisa
Hapo wote ni vilema ila wamezidiana tu ukilema na iko hivyo hata kwenye umasikini yaani mtu ambaye hana kabisa pesa na yule ambaye pesa za kutatua shida mbali mbali anazipata kwa kuungaunga wote ni masikini sema tu wamezidiana viwango maana hata matajiri wenyewe wamezidiana viwango
Mtu kuishi chini ya USD 1 kwa siku haimaanishi kuwa hiyo pesa ni kubwa kiasi cha kusema eti mtu anayeweza kupata zaidi ya hiyo (hata kama ni kwa kuungaunga) basi tayari ni tajiri
Wewe kwa vile siyo hobby yako wala starehe yako ndiyo maana unaongea hivyo ila jiulize hata wale ambao starehe yao kubwa ni pombe au wanawake unakuta kula yake tu ni ya shida na anapata hela kwa kuungaunga ila kila hela anayopata anaenda kuunguza maini au anahonga tu wanawake lakini ni masikini apeche alolo
Sasa kuhusu huyo jamaa ukisema alikuwa anatafuta sifa utakuwa unatoka nje ya mada maana kutafuta sifa ni jambo moja na kuweza kufanya kile kitendo ni jambo jingine yaani cha msingi hapa ni kwamba aliweza kutembea na kukamilisha safari yake KWA MIGUU BILA KUTUMIA USAFIRI WOWOTE hayo mengine ya alifanyajefanyaje wala hata hayahusiani
Naona kama anasemea natural flowers.Vase natural?
Kwahiyo unataka kuniambia hao wote wanaoishi chini ya hiyo poverty line wote hawajawahi kabisa kusafiri hata toka wilaya moja hadi nyingine au mkoa mmoja hadi mwingine (hata kwa miguu) tangia wanazaliwa hadi wanakufa
Yawezekana wameshawahi kusafiri ila walisafiri kwa shida ,na si hobby.Kwahiyo unataka kuniambia hao wote wanaoishi chini ya hiyo poverty line wote hawajawahi kabisa kusafiri hata toka wilaya moja hadi nyingine au mkoa mmoja hadi mwingine (hata kwa miguu) tangia wanazaliwa hadi wanakufa
Wanaendelea mbele lakini kwa miguu halafu kwani kuvuka border lazima utokee DSM tuKumbe anaendelea mbele zaidi!
Basi huyo ni tajiri.
Jamaa alisema unaweza kusafiri nchi moja hadi nyingine pasi na kuwa na hela,, nikatoa huo mfano.
Huwezi toka DSM hadi Kenya au Malawi bila hela,unafikaje?
Labda kwa lift.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani atembee for fun na huku Nyumbani hata kula ni ya shida!?!
Njiani anakula nini?
Kwamba mtu anatoka tz hadi Malawi kwa mguu?
Labda ile Malawi ya kwetu ambayo mtu akivuka mto tayari yupo Malawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma tena hiyo comment.Wanaendelea mbele lakini kwa miguu halafu kwani kuvuka border lazima utokee DSM tu
Shukran kiongoziIko poa kwa matumizi ya mjini na safari za hapa na pale.