Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Aisee leo nilikuwa Waswanu nikapiga zangu kitimoto na ndizi nikashushia na Safari na Heineken

Kesho Pestana
 
Pole sana dingii...
Tuliomba kazi wenyewe..
Tufanye kazi..
Kama hatutaki kazi, tuache kazi
Tuone ilivyo kazi, kupata kazi..[emoji28][emoji38]

26/12/2020 nitakusupoti mzee baba, nitashinda job..
Aaah kazi kazi, hao wajuba inaonekana mmoja usiku alikuwa Kala vyombo akamkwangua mwenzie ubavuni. Mchana nimemaliza kazi ya leo napata taarifa ya kazi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…