Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kuna mdau hapo juu alisema Apache RTR 200 ni million 5 brand new. Hiyo inaweza ikawa pungufu.Apache rtr 180
Mimi sina mapenzi nazo hata sijawahi familia kiundani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau hapo juu alisema Apache RTR 200 ni million 5 brand new. Hiyo inaweza ikawa pungufu.Apache rtr 180
Uzembe wa raia mmoja ndio umenimalizia muda Leo.Kazi kwanza...
Aisee leo nilikuwa Waswanu nikapiga zangu kitimoto na ndizi nikashushia na Safari na Heinekenhata hiyo mkitupa si haba
mm wanangu nimewaachia Ice cream za azam baada ya kushindilia pilau na soda baadae nikawazungusha Chinangali, Nyerere square, kufika Dodoma Hotel swimming pool la baridi hasa na kimvua hichi, naenda waachahome
WASWANU ni kuanzia saa 2 mm alone na serengeti mpaka asubuhi, Pub siwezi
Wee cc j2 naingia Arusha plz naomba tuonane.Vya utulivu ama vyenye vibes mixer raia wa kutosha?
Niko Dar mie my dia. Utakuwepo mpaka lini?Wee cc j2 naingia Arusha plz naomba tuonane.
Tar 03 narud dar.Niko Dar mie my dia. Utakuwepo mpaka lini?
Tunapishana.Tar 03 narud dar.
Duuuh hatareeh sanaah,Tunapishana.
Pole sana dingii...Uzembe wa raia mmoja ndio umenimalizia muda Leo.
Aaah kazi kazi, hao wajuba inaonekana mmoja usiku alikuwa Kala vyombo akamkwangua mwenzie ubavuni. Mchana nimemaliza kazi ya leo napata taarifa ya kazi hiyo.Pole sana dingii...
Tuliomba kazi wenyewe..
Tufanye kazi..
Kama hatutaki kazi, tuache kazi
Tuone ilivyo kazi, kupata kazi..[emoji28][emoji38]
26/12/2020 nitakusupoti mzee baba, nitashinda job..
Watu wamevunja vibubuWakuu punguzeni kasi
Leo nimekutana Na DVC 3.....
Pole mkuu...Tushukuru kwa yoteAaah kazi kazi, hao wajuba inaonekana mmoja usiku alikuwa Kala vyombo akamkwangua mwenzie ubavuni. Mchana nimemaliza kazi ya leo napata taarifa ya kazi hiyo.
Kuna watu mungu kawakunia nazi mzee baba...Wakuu punguzeni kasi
Leo nimekutana Na DVC 3.....