Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wale wanaotumia Morogoro road mjipange na tochi kwenye hii super high way yetu. Nimekutana na jamaa wa tochi hapo baada ya St. Jospeh kabla ya Mbezi.
Mi nimetoka saa 11 mjini, wazee wameingia barabarani nishafika mbali. Sema asubuhi niliwaachia ya kubrash viatu wazee wanaotega chalinze pale kwenye vichaka, kuovertake sehemu yenye mstari usiokatika.


Otherwise nimeteleza tu mpaka Dodoma
 
Wanakaaga na hapo ukimaliza kimara stand.. yani kama tunategena
Kuna siku washaniharibia safari,ile naanza wenge tu hawa hapa,nikajisemea hapa hapa dar naanza na mambo ya kuandikiwa vyeti,kufika misugusugu pambavu wengine tena wanakuonyeshea na picha kabisa ya speed yako waliotumiwa na mshashi anaepiga tochi,nikaona isiwe tabu ikabidi niwe mdogo tu safari yote,maana wanaweza kukufilisi wale jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…