Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
......just go for auto...Una tabia mbaya [emoji1787]
Manual tuwaachie alshabab..[emoji85][emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......just go for auto...Una tabia mbaya [emoji1787]
Mwanaume wa hivyoAlaa basi kumbe kuvumilia mnaweza yaani kelele zote zile mie nikajua huwa unafanya kila siku kama chakula kumbe siku nyingine unakaa mwezi mzima bila bila na bado uko hai
Kuna little more
Na kuna duka lipo opposite na idara ya maji..
Uyakusanye? Si mpaka wakuruhusu [emoji23]
Kula nakula, ila ukiweka chakula hapo na sex naanza sex ndio inafatia chakula
Nitumie na mimi 🥲Inakuja PM huko 😉
Nakula kwanza ndio naliwa...Kula nakula, ila ukiweka chakula hapo na sex naanza sex ndio inafatia chakula
Hao wako kitambo hapo kabla ya hiyo high wayWale wanaotumia Morogoro road mjipange na tochi kwenye hii super high way yetu. Nimekutana na jamaa wa tochi hapo baada ya St. Jospeh kabla ya Mbezi.
Nakutumia Telegram 🤣Nitumie na mimi 🥲
Huko kote kuna makomeo,hata kosa silijui yan 🤷♂️Nakutumia Telegram 🤣
Kosa ni hiyo avatar 😂Huko kote kuna makomeo,hata kosa silijui yan 🤷♂️
Huko kote kuna makomeo,hata kosa silijui yan 🤷♂️
Duh, hayaNakula kwanza ndio naliwa...
Nimecheka wakati naandika ☝🤣🤣🤣
Leteni trips bana. Wacheni zenu...
Wanakaaga na hapo ukimaliza kimara stand.. yani kama tunategenaHao wako kitambo hapo kabla ya hiyo high way
Upo kama mimi, Telegram nimekula life ban 😀 😀 😀Huko kote kuna makomeo,hata kosa silijui yan 🤷♂️
Wale wanaotumia Morogoro road mjipange na tochi kwenye hii super high way yetu. Nimekutana na jamaa wa tochi hapo baada ya St. Jospeh kabla ya Mbezi.
Mi nimetoka saa 11 mjini, wazee wameingia barabarani nishafika mbali. Sema asubuhi niliwaachia ya kubrash viatu wazee wanaotega chalinze pale kwenye vichaka, kuovertake sehemu yenye mstari usiokatika.Hapo wataokotwa wengie sana.. maana watu wanajiachia vibaya.. na lengo lao kukusanya pesa hapo.. siku hizi nimeona wanategea maeneo ambayo ni lazima goti likunjuke.. uzuru hizi siku za karibuni wananibutua tochi ila mwendo wanao nikuta nao huwa wanachoka wenyewe.. nalipa 30, ile kiroho safi
Kuanzia jumanne naanza mambia rasmi.. nahisi tutakutana sana hukoMi nimetoka saa 11 mjini, wazee wameingia barabarani nishafika mbali. Sema asubuhi niliwaachia ya kubrash viatu wazee wanaotega chalinze pale kwenye vichaka, kuovertake sehemu yenye mstari usiokatika.
Otherwise nimeteleza tu mpaka Dodoma
Kuna siku washaniharibia safari,ile naanza wenge tu hawa hapa,nikajisemea hapa hapa dar naanza na mambo ya kuandikiwa vyeti,kufika misugusugu pambavu wengine tena wanakuonyeshea na picha kabisa ya speed yako waliotumiwa na mshashi anaepiga tochi,nikaona isiwe tabu ikabidi niwe mdogo tu safari yote,maana wanaweza kukufilisi wale jamaaWanakaaga na hapo ukimaliza kimara stand.. yani kama tunategena
Jamani 😪 mbona huko telegram bado patupu!Nakula kwanza ndio naliwa...
Nimecheka wakati naandika ☝🤣🤣🤣
Leteni trips bana. Wacheni zenu...
Mkuu ulipotea sanaaa