Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

sema nije na korosho kilo ngapi?

Japo sijaulizwa mimi ila naomba nijibu tuu.

Vile napenda kula, hasa nuts..

Korosho hainikifu ntatafuna mfuko mzima nashushia na maji ya machungwa.

Ikikupendeza tafadhali njoo na kilo 5 hata ikiwa kwa kuzinunua ila iwe za bei ya uchumi wa kati tafadhali😅😅.

Ikiwa mbichi itafaa zaidi nizikaange na kuzioka mwenyewe 😋😋😋.

I Love Eating, Kasie Mahaba Matata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…