Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

[emoji7][emoji7][emoji7]
Tumekumiss pia Sana[emoji120].
Usipotee sana,huku jf dunia inazunguka Sana.

Tukachatie kule chitchat kilinge Cha Mshana.

Huku majadiliano yalikuwa mengi hadi tuliharibu uzi wa watu[emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aahh yaani tulibishana hadi tukatoka kwenye uhalisia tukaanza kufungana kamba sasa

Miss you more dada lao
Yaani mmenichekesha mweeh. Tukutane kwa Mshana
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aahh yaani tulibishana hadi tukatoka kwenye uhalisia tukaanza kufungana kamba sasa

Miss you more dada lao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila dogo ulizidisha kamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo na Mimi nilikuwa nazo nyingi tu.
 
Huyu mwamba aliyevua shati kapewa gari aioshe baada ya kuosha jamaa kapiga Road trip kitaa kakutana na moto, nasikia nearby BOT Dom... Hawa jamaa muda mwingine ni wavuta bangi

View attachment 1877024
Hapo mwenye gari ni kulia tu kilio cha mbuzi beberu..

Bima hawamtambui, huo ni uzembe wa kuwaachia wahuni funguo za gari..

Aliyeangusha gari muonekano wake inaelekea hata ukimkamua kinyesi, hana...
[emoji3166][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Hapo mwenye gari ni kulia tu kilio cha mbuzi beberu..

Bima hawamtambui, huo ni uzembe wa kuwaachia wahuni funguo za gari..

Aliyeangusha gari muonekano wake inaelekea hata ukimkamua kinyesi, hana...
[emoji3166][emoji51][emoji51][emoji51]
Wenye magari mjifunze kutowaachia watu funguo.
Hiyo gari dah[emoji26],,halafu aliyeibamiza mwenyewe anaishangaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nacheka kama mazuri vile[emoji1787]
 
Hapo mwenye gari ni kulia tu kilio cha mbuzi beberu..

Bima hawamtambui, huo ni uzembe wa kuwaachia wahuni funguo za gari..

Aliyeangusha gari muonekano wake inaelekea hata ukimkamua kinyesi, hana...
[emoji3166][emoji51][emoji51][emoji51]
Mkuu ungeiona video yake baada ya hii ajali mbavu zingekuuma[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wenye magari mjifunze kutowaachia watu funguo.
Hiyo gari dah[emoji26],,halafu aliyeibamiza mwenyewe anaishangaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nacheka kama mazuri vile[emoji1787]
Picha kama hilo liliyokea mtaani kwetu, jamaa aliachiwa Subaru ya askari aoshe, yeye akaingia high way, akajaza moto...
Yakatokea yaliyotokea..
 
Ni sahihi, lakini mtazamo wako ume base kwenye aina gani ya bima?
Nadhani bima ya magari au vyombo vya Moto kiujumla.
Excluded driver(ambaye si mmiliki na hayupo kwenye orodha ya madereva kwenye mkataba pale wa bima)akisababisha ajali, sidhani kama atalipwa.


Mimi nimeongelea tu kanuni za bima kwa ujumla.
Siyo mtaalamu kwenye maswala hayo na aina za bima nadhani sizijui kwa undani.

Najaribu tu kuwaza mkuu,ni mawazo Yangu ambayo hayana utaalamu wowote.
 
Nadhani bima ya magari au vyombo vya Moto kiujumla.
Excluded driver(ambaye si mmiliki na hayupo kwenye orodha ya madereva kwenye mkataba pale wa bima)akisababisha ajali, sidhani kama atalipwa.


Mimi nimeongelea tu kanuni za bima kwa ujumla.
Siyo mtaalamu kwenye maswala hayo na aina za bima nadhani sizijui kwa undani.

Najaribu tu kuwaza mkuu,ni mawazo Yangu ambayo hayana utaalamu wowote.
Tuko pamoja sicy, maana coaster ya mzee ulishawahi kupiga mzinga Ikachinja watu 7, bahati ilikua na comprehensive japokua ilikua ikiendeshw na madereva tofaut tofauti lakini alilipwa.
 
Tuko pamoja sicy, maana coaster ya mzee ulishawahi kupiga mzinga Ikachinja watu 7, bahati ilikua na comprehensive japokua ilikua ikiendeshw na madereva tofaut tofauti lakini alilipwa.
I guess Kuna vipengele.
Hiyo nadhani ni bima ya magari na vyombo vya moto kwa ajili ya biashara ndiyo maana.Na sidhani kama ina hiyo option za kujaza madereva..Unaweza mjaza leo,kesho akaacha kazi.
Hiyo nadhani wataangalia tu proximate cause na leseni ya dereva victim wa ajali.

Nadhani pia Kuna bima ya magari kwa ajili ya usafiri binafsi ambayo nadhani ndiyo niliyoilenga mimi kutokana na gari yenyewe iliyowekwa hapo pia maelezo (jamaa aliiacha Car wash ioshwe).
 
Back
Top Bottom