Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tandale sijui hata ipo wapi[emoji23] nimeitaja tu.Tandale mnapanda za wapi? Au unatuleta na wewe?
Me naijua ile ya pale magomeni kanisani inaingia kwa ndani huko.
Kuna watu wanaijua Daslam sana, nina rafiki angu anajua chocho hatari. Kwanza Dar humtoi, anakwambia nikitoka nje ya Dar nitapauka.
Kupotea ndio mwanzo wa kuibiwa.Afadhali upotee kuliko kuibiwa au kutapeliwa
😁😁 inabidi tukurudishe Dom.Mimi Dom tu walihamishia stand sabasaba toka jamatini nilipotea.
Nilikuwa sijui kama wamehamisha[emoji23]
Lengo langu ilikuwa niende barabara ya 7 kule,aisee..nilizunguka ile siku ile hadi nikachukua boda.
Sasa wewe tu Kumbe unapotea,itakuwa Mimi?[emoji38]
Tandika sijui hata ipo wapi[emoji23] nimeitaja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa Mcity, KFC za posta na fire tu. Karibu na ya MikocheniDar huwezi ijua yote.
Dar naijua mwenge, upanga, posta na kariakoo ila kwingine tia maji tia maji huwa naenda straight eneo husika tu
[emoji38] Dom nilirudi December ila niliishia kuzunguka milembe majengo mapya.[emoji16][emoji16] inabidi tukurudishe Dom.
Mimi kkoo? Napotea jua linawaka, inakuwa sio kupotea kabisa ila kuzunguka kutafuta uendapo kunakuwa kumezidi.
Utapajuaje Tandika na mtoto upo mitaa ya chole road huko? Ila Tandika kunakufaa sana wee mshona magauni ya kanisani.
viwanja vyenu watu wazito kama wewe kumbe unavijuaWazee wa Mcity, KFC za posta na fire tu. Karibu na ya Mikocheni
[emoji38] Dom nilirudi December ila niliishia kuzunguka milembe majengo mapya.
Sasa wewe kkoo utahangaika kutafuta uendapo,mimi hata niendapo sipajui[emoji23]
Wanaoniambia niende nitatumia Google map hawanitakii mema.
Siku hizi nimepunguza vitenge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje nikupe lift kwenye ile subie yetu 😀😀😀Tunamsubiri daddie atutoe ka trip kadogo. 😎View attachment 1911167
TXTunamsubiri daddie atutoe ka trip kadogo. 😎View attachment 1911167
Subie? Sitakiiii.... Nataka ile A... niliyoisikia. Ilinipa mzukaaaaUje nikupe lift kwenye ile subie yetu 😀😀😀
Weee mwenye sector yake 😎🥰By 4
TX
Ile eeh! basi now tunavuta hii bwana weeee... ukiingia nyang'ang'anyaSubie? Sitakiiii.... Nataka ile A... niliyoisikia. Ilinipa mzukaaaa
[emoji38]Kariakoo sipotei hata robo
Jana nimeenda kwa mtogole nilipata tabu sana
Kilichotokea ni kuita Bolt kabla hawajanikwapua
Afu tutawakera kidogo? 😂
Mimi ya kwangu wiki ijayo mapema. Dar Dodoma Babati BashnetKesho nilikuwa nipige trip moja ndefu kishenzi nayo ime dead duh!
Kwa angle hiyo ilivyokaa, inabidi aingize Kona ya kulia Kisha aende mbele kidogo.
Aende mbele kidogo?Kwa angle hiyo ilivyokaa, inabidi aingize Kona ya kulia Kisha aende mbele kidogo.
Baada ya hapo aingize Kona ya kushoto arudi nyuma. Hadi hapo atakua kashapata space kwenda reverse na atachagua kwenda left corner au right, very simple.
Ukiangalia tyre ya mbele hakuna nafasi ya kurudi nyuma, lakini tyre ya nyuma Kuna nafasi ya kwenda mbele japo ni kidogo mno. Hivyo tutaitumia nafasi hiyo kufanya kitu.