Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Tulikuwa na dumejeuri hapo tumeshauriana tuondoke 😀😀😀 Samaki samaki naona wana events na Century cinemax naona pia wana events naweza tokea usiku sana hapoNiko hapa sasa hivi...mbona pamechangamka
vijana huwa tunakuja kuokoteza mlivyo acha wazee 😃😃😃 tupo kama fisi vile Offshore SeamenNafikiri nitaondoka in one hour niwaachieni vijana mmalize usiku.
Ila vijana mnakula raha tu hata tozo haziwahusuvijana huwa tunakuja kuokoteza mlivyo acha wazee 😃😃😃 tupo kama fisi vile Offshore Seamen
wakitaka tozo za vijana watumaliza maana tozo ndio iliyopo ukitoa tozo ubaki na sifuri.. sie ni kuvuzia tu kama fisi , na hakukati tamaa fisi anavyo hisi mkono wa mtu utaanguka na sie tunaenda na matumaini hayo hayo 😀😀😀😀Ila vijana mnakula raha tu hata tozo haziwahusu
Wazee wa kuji-position kwa ajili ya kumalizia pasi za mwishovijana huwa tunakuja kuokoteza mlivyo acha wazee 😃😃😃 tupo kama fisi vile Offshore Seamen
Tunatazama tu, una hudumia ni hennesy misosi alafu tuna malizia kiulani tunakuacha unacheza na makeke yote hadi dk 89 tunaingia na nguvu mpya kumalizia lazima ulale na boti 😁😁Wazee wa kuji-position kwa ajili ya kumalizia pasi za mwisho
Hahaaa sasa huko Makunduchi Unguja ya kusini anakotokea maza ndiyo balaa mtu aweza akamaliza sentensi na usielewe kitu ila mwenzio anakuambia kaongea kiswahili[emoji1][emoji1][emoji1] Nilikua Sijawahi kulisikia Hilo neno kabla ya maza hajalisema mkuu.
Hahaaa hauvumi lakini umo mkuuTunatazama tu, una hudumia ni hennesy misosi alafu tuna malizia kiulani tunakuacha unacheza na makeke yote hadi dk 89 tunaingia na nguvu mpya kumalizia lazima ulale na boti [emoji16][emoji16]
Aisee inabidi mkuu. Kuna kila haja ya kwenda kutoa mafua na kukaza takoMkuu Tafuta trip utatuulia watoto!
Ukifika Mbeya naomba lift ya kwenda TDM.Arusha - Dodoma - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga
Dua zenu
Ukiweka na kapicha itapendeza zaidi[emoji39]Km 1,300 mkuu si mchezo
Niko na Vw Touran
Ahsante sana mkuu[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iringa -Dom sitamani tena kupita kwa yale mashimo[emoji26].Hapa
Nitateseka kidogo kipande cha Dodoma - Iringa, Igawa - Tunduma na kidoogo yale matuta ya Tunduma Sumbawanga
Ahasnte mkuu nitajitahidi kuzingatia ushauri wako
Umekuwa mnyongee eeh! nadokoa dokoa trip aseeAisee inabidi mkuu. Kuna kila haja ya kwenda kutoa mafua na kukaza tako
Hii ni JF. Kila mtu ana gari. Ushindwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani,Kuna watu tumeingia tu kwenye mkumbo wa kulalamikia Bei za mafuta,wakati hata baiskeli hatuna [emoji38].
Sema tuna assume tu wote tunayo[emoji14].
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi yangu ni uhakika ni suala la lini tuianzeUmekuwa mnyongee eeh! nadokoa dokoa trip asee
Hehehhe halooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani,Kuna watu tumeingia tu kwenye mkumbo wa kulalamikia Bei za mafuta,wakati hata baiskeli hatuna [emoji38].
Sema tuna assume tu wote tunayo[emoji14].
Sent using Jamii Forums mobile app