Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Njoo uniambie PM
 
😊😊 watu wamepagawa aisee.. ila 50 mill nyingi sanaaa hilo rinda labda kama ni la gold 😉😉😉 majitu yalivuo mahumi yatoe 50 na huu uchumi wa corona thubutuuu
Hakuna mtu atayetoa hiyo pesa kizembe hata iwe Ulaya au America hiyo pesa ni kubwa. Hata wataliano hapo Kwa hiyo pesa inayokaribia USD 21000 hawatoi hata umpige, ingawa ndio vinara wa michezo hiyo wakija Kwa dada zetu.
 
Hakuna mtu atayetoa hiyo pesa kizembe hata iwe Ulaya au America hiyo pesa ni kubwa. Hata wataliano hapo Kwa hiyo pesa inayokaribia USD 21000 hawatoi hata umpige, ingawa ndio vinara wa michezo hiyo wakija Kwa dada zetu.
😁😁😁 wakati elfu 20 wanapata kuchezea haja kubwaa .. Acha tuendelee kupiga trip zetu tu
 
Imeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…