Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Extrovert & RRONDO [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ningewaelezea baadhi ya characteristics zangu sema nitajianika tu sasa

I am always sincere when it comes to explaining my personality ila tu siyo kwa kila mtu

Ila aminini tu kwamba mie siko decent wala siyo wife material kabisa kama mnavyosema

Kwa sifa zangu sifai kabisa kuwa mke wa mtu na huko kwenye ndoa tutaenda kutesana tu
Njoo uniambie PM
 
😊😊 watu wamepagawa aisee.. ila 50 mill nyingi sanaaa hilo rinda labda kama ni la gold 😉😉😉 majitu yalivuo mahumi yatoe 50 na huu uchumi wa corona thubutuuu
Hakuna mtu atayetoa hiyo pesa kizembe hata iwe Ulaya au America hiyo pesa ni kubwa. Hata wataliano hapo Kwa hiyo pesa inayokaribia USD 21000 hawatoi hata umpige, ingawa ndio vinara wa michezo hiyo wakija Kwa dada zetu.
 
Hakuna mtu atayetoa hiyo pesa kizembe hata iwe Ulaya au America hiyo pesa ni kubwa. Hata wataliano hapo Kwa hiyo pesa inayokaribia USD 21000 hawatoi hata umpige, ingawa ndio vinara wa michezo hiyo wakija Kwa dada zetu.
😁😁😁 wakati elfu 20 wanapata kuchezea haja kubwaa .. Acha tuendelee kupiga trip zetu tu
 
Oh!

Ipo hivi mizani now days ni vpn

Sina neno zuri la kiswahili[emoji23]

Nikishapima bandarini VGM, pote nitakapopita uzito upo sawa kama inavyotakikana

Kwa hiyo tuchukulie mfano pale Vigwaza, kuna mzani kabla ya mzani(sijui naeleweka?)

Ukini pita pale ule mzani utasoma gari yako na mzigo nilioubeba so far red light itawaka kunielekeza niingie wa corfirm

Lakini ukiniacha na ukanipa distance utaona wote tunanyooka bila mimi kuingia mzani

Sauti ipo sawa?
Imeeleweka
 
Back
Top Bottom