Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mimi sitaishia kutamani tu bali ndiyo aina ya maisha ambayo nimeyachagua ya kuishi mwenyewe

Tatizo wanawake wengi kinachowakwamisha ni ile kuhitaji kuhudumiwa na wanaume ndicho wanachosema

Lakini mwanamke ukiwa na pesa zako na siyo sex maniac unaweza kuishi mwenyewe na kuwa single vizuri tu
Tukutane at 40’s
 
Watu wanataka waishi Kama walemavu,

Mwanaume na minguvu yake yote ila anataka kufanyiwa kila kitu utadhani hana mikono. Wanadhani wanawake wana engine mikononi,[emoji16]

Ila Kuna wanawake watafika mbinguni wakiwa wamechoka Sana.
Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!

Hamna maana ya kuoa ikiwa terms and conditions mwanamke haziwezi! Usije compel mtu kukuoa kama hutaweza kuishi kama mke please. Being a wife involves taking orders from your man,kama hauwezi kausha wenye kuweza wataolewa.

We don’t want these 6 months marriage divorces no more.
 
Badili profile ya rim.
Mfano 205/45R16 weka 215/60R16 gari itainuka sana bila kuathiri suspension effectiveness.
Niliwahi kuwa na gari ilikuja na 225/50R16 ilikuwa chini sana nikaweka 215/60R16 kulikuwa na mabadiliko makubwa sana.
Yeah naonaga Rumion ikifungwa 18 inch rims inapanda sana yani inakuwa kama ni gari kubwa tu in-terms of ground clearance. I’ve seen several ones, ya dogo pia kafunga 18’z iko poa sana tu.
 
Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!

Hamna maana ya kuoa ikiwa terms and conditions mwanamke haziwezi! Usije compel mtu kukuoa kama hutaweza kuishi kama mke please. Being a wife involves taking orders from your man,kama hauwezi kausha wenye kuweza wataolewa.

We don’t want these 6 months marriage divorces no more.
acha tuwepelekea motoo tu, usimshtue alie lala 😀😀😀
 
Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!

Hamna maana ya kuoa ikiwa terms and conditions mwanamke haziwezi! Usije compel mtu kukuoa kama hutaweza kuishi kama mke please. Being a wife involves taking orders from your man,kama hauwezi kausha wenye kuweza wataolewa.

We don’t want these 6 months marriage divorces no more.
Wazazi wangu waliishi kwa kusaidiana.
Baba Yangu kuna alikuwa anapika akijisikia au mama akiwa hayupo vizuri.
 
Back
Top Bottom