Parking imekalisha kama 250m hivi kwa haraka tu😅A very good morning!
View attachment 1934265
Hahahahah tutafika tu humu ni swala la muda tu na uvumilivu!Haya maisha one day yes ...
View attachment 1934277
Tukutane at 40’sMimi sitaishia kutamani tu bali ndiyo aina ya maisha ambayo nimeyachagua ya kuishi mwenyewe
Tatizo wanawake wengi kinachowakwamisha ni ile kuhitaji kuhudumiwa na wanaume ndicho wanachosema
Lakini mwanamke ukiwa na pesa zako na siyo sex maniac unaweza kuishi mwenyewe na kuwa single vizuri tu
Uzee umeanza lini wewe😅Hakusema[emoji1751]
Au itakuwa nimeruka comment [emoji16]uzee huu nao ni tatizo .
Ile njia tamu sana sahizi hamna kwere hadi mbezi mwishoBaada ya miaka mingi sana leo ndio nimetumia njia ya Chalinze-Dar. Leo ilikuwa poa ila zile njia sita.....RIP Magu! Zimenikumbusha motorways ughaibuni. Shida tu walipoweka 50kph limit.
Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!Watu wanataka waishi Kama walemavu,
Mwanaume na minguvu yake yote ila anataka kufanyiwa kila kitu utadhani hana mikono. Wanadhani wanawake wana engine mikononi,[emoji16]
Ila Kuna wanawake watafika mbinguni wakiwa wamechoka Sana.
Wataelewa tu siku 1Mwamba alifanya kazi kubwa. Wema hawadumu
Enhee endeleeni kumwagika 😅 hiki kizazi cha yahoo.com ni balaaMimi kufua... Dah
Yeah naonaga Rumion ikifungwa 18 inch rims inapanda sana yani inakuwa kama ni gari kubwa tu in-terms of ground clearance. I’ve seen several ones, ya dogo pia kafunga 18’z iko poa sana tu.Badili profile ya rim.
Mfano 205/45R16 weka 215/60R16 gari itainuka sana bila kuathiri suspension effectiveness.
Niliwahi kuwa na gari ilikuja na 225/50R16 ilikuwa chini sana nikaweka 215/60R16 kulikuwa na mabadiliko makubwa sana.
18” Inakaa vizuri tu wala haina shida sema profile lazma iwe stroke 45! Ukitaka nene kama stroke 55 au zaidi basi unatia 17”s inapandisha body vyema tu18" sijui maanake 18" hata kwenye Crown inaonekana kubwa.
Unae vumilia ukafa huku ukivumilia 😀😀Hahahahah tutafika tu humu ni swala la muda tu na uvumilivu!
Safari yangu jumanne mkuuMwenye kutoka dar kwenda sgd ama dom naomba lift chonde chote nna dharura[emoji120]
acha tuwepelekea motoo tu, usimshtue alie lala 😀😀😀Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!
Hamna maana ya kuoa ikiwa terms and conditions mwanamke haziwezi! Usije compel mtu kukuoa kama hutaweza kuishi kama mke please. Being a wife involves taking orders from your man,kama hauwezi kausha wenye kuweza wataolewa.
We don’t want these 6 months marriage divorces no more.
Hushiki cm ttz nn mkuu?Safari yangu jumanne mkuu
Kuna siku kuna IST ilitaka kuni suprise, nahisi waliifanyie vitu ile maana iliniwashia moto nikawa nachukulia poa..Hujui kUna nini ndani ya bonnet 😂😂
Simu mkuu ili compromise nisamehe mkuu wangu. Hapa nimeshindwa kukupigia ilibaki kama kopo, naomba utuwasilianeHushiki cm ttz nn mkuu?
Wazazi wangu waliishi kwa kusaidiana.Endeleeni kujifunza, kama mama yako alikuwa successful in marriage ndio mfano halisi wa namna unatakiwa uishi! Uzuri ndoa ni mkataba ulio wazi kabisa, shida wengi mnataka harusi na sio ku deal na majukumu ya ndoa sikuhizi!
Hamna maana ya kuoa ikiwa terms and conditions mwanamke haziwezi! Usije compel mtu kukuoa kama hutaweza kuishi kama mke please. Being a wife involves taking orders from your man,kama hauwezi kausha wenye kuweza wataolewa.
We don’t want these 6 months marriage divorces no more.
Same old storyTukutane at 40’s
Basi ili upate burudani tafta mwanaume kama baba yako tu. Well its easy to be that kind of man kama unapata mwanamke anayejua mapenzi haswa na muaminifu kwako.Wazazi wangu waliishi kwa kusaidiana.
Baba Yangu kuna alikuwa anapika akijisikia au mama akiwa hayupo vizuri.