eti mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo anajiita mumeYaani mimi nimekula chakula Cha baba mara nyingi TU.
Na nilikuwa mikiugua naenda hospital na baba..hii alikuwa anafanya willingly,hata siku nikienda mwenyewe hospital mzee ananifuata.
Usafi wa nje alichukua jukumu kufanya na hata kazi nyingine nyingi TU alikuwa akifanya na ndoa ilidumu.
Wanaume wa siku hizi wanajitoa ufahamu..
Mimi mwanaume anaye act kama mlemavu simtaki.
Haha kwa bahati nzuri au mbaya hakuna sehemu nimesema i need to change the fact that i was born a woman and infact naona kama i am better off being a woman cause ningekuwa mwanaume nahisi ningefanya mambo ya ajabu sanaHonestly, I have been going through your posts especially on relationships and marriage.
The truth is, 'you have developed a negative attitude and hence a distortion of your view on the issues'.
You see nothing positive on marriage. All you think is about disappointments.
If that had happened to either friends, family member or you, then don't take everything about on such a negative perspective way.
Count the good, compliment the best on marriage and hope it will be good for others.
Yaani, unachowaza ni usaliti na uasherati kwenye ndoa kama vile hivyo hutokea kwa familia zote. Kuna familia zina furaha, hawasalitiani, wanashirikiana na zaidi wanamjua Mungu.
Stop being a harsh feminist. A man is a man. You will never change the fact that you were born a woman. Hata ufanyaje, u will never be as stiff as men.
Badilika Mkuu.
Aisee unaonesha wewe ni mwanaume unayejielewa na unajua umuhimu wa ndoa na thamani ya mwanamke sasa mbona ulikuwa unaongea vitu vya ajabu hadi nikajua nawe ni wale wale tu wanaodharau wanawake au unachangamsha jukwaa tuDeeh..
Ndio ivyo, ukirudi kwenye Genesisi ya mwanadamu kila kitu kipo wazi, na ile ndio foundation ya maisha ya mwandamu ila ishakuwa compromised. Imefika kipindi tunaangalia maumbile zaidi katika kutenganisha mambo ila haiko ivyo, mwanaume na mwanamke ni kitu kimoja hakuna alie juu ya mwenzake na hakuna alie chini ya mwenzake, isipokuwa alie source huwa tunaita mwanaume so hata mwanamke pia anaweza kuwa source . ila kimaumbile ni katika umoja wetu wa kutekeleza task flani flani.. ila kimajukumu na kimuundo source ambayo tunaita mwanaume anauwa kichwa kwa kile alichotoa katika chanzo chake na kichwa kivipi ? sio ku contorl mambo
Hii Jf ndugu hatujuani, wakati mwingine tunapiga story ila nilicho andika mwisho ndio mimi nikiwa serious kidogoAisee unaonesha wewe ni mwanaume unayejielewa na unajua umuhimu wa ndoa na thamani ya mwanamke sasa mbona ulikuwa unaongea vitu vya ajabu hadi nikajua nawe ni wale wale tu wanaodharau wanawake au hayo ni maneno tu
Pengine ndio hivyoMwananadu ana emotion, na emotion huja na kuondoka, kipidni hisi zipo juu unaweza ona haya ndio maisha na huyu ndio mtu, ila zikikata baraa limeingia, mjifunze kutofautisha hisia na upendo vitu viwili tofauti ila wengi wana nasa kwenye emeotiona
Mmhh haya basi hongera kama ni kweliHii Jf ndugu hatujuani, wakati mwingine tunapiga story ila nilicho andika mwisho ndio mimi nikiwa serious kidogo
Kinachosumbua sana watu ni hisia tu, mtu anashindwa kuelewa kapenda kweli au hisi zake zimewaka juu ya mtu flani. Na hisia za mapenzi huwa zinadumu mda mrefu sana hadi pale unapo anza kukutana na madhaifu ya mwenzako zinaanza kukata, kitu amabcho kwenye upendo hakipo.. upendo hata siku moja haujawai kutafuta mabaya au udhaifu wa mtuPengine ndio hivyo
Nina sura nyingi sana JFMmhh haya basi hongera kama ni kweli
Kama jukwaa la mapenziKila nikijaribu kudandia huu muendelezo ili twende sawa lkn nadondoka Sasa sijajua nakosea wapi !!!sijui sababu sioni habari za engine,matairi na location au mnatimua sana vumbi kiasi nashindwa kuona mbele kwenye road[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo anajiita mume
mke akiumwa mpaka boxer inaenda kwa Dobi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila nikijaribu kudandia huu muendelezo ili twende sawa lkn nadondoka Sasa sijajua nakosea wapi !!!sijui sababu sioni habari za engine,matairi na location au mnatimua sana vumbi kiasi nashindwa kuona mbele kwenye road[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji38]Si ndiyo maana nimewaambia haya maneno huwa wanaishia kuandika tu mitandaoni kwa sababu hatujuani lakini tukija huku mitaani kila weekend kuna harusi na wanaoolewa ni hao hao single mothers na makahaba wastaafu hakuna mabikira
Watu wanadhani eti mtu ukishaoa au ukishaolewa basi tayari moja kwa moja una ticket ya kwenda mbinguni bila kujua kuwa hiyo ndoa at some point in life inaweza kukufanya ukatenda dhambi moja matata sana ukawa shosti wa shetani
Kwanza hizo ndoa zenyewe siku hizi nyingi zimejaa uzinzi na uasherati tu mtu kaoa au kaolewa lakini anachepuka kama kawa tena kwa ufahari kabisa mtu anasema mimi sitosheki na mwanamke mmoja eti nature wakati ni kinyume na maandiko
Hivi zimeshafika E??[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] namba E kitu kipyaaa
Hatumo hatumoEndelea kusema haumo, hadi siku mpira upige kati kati ya gori ndio utajua watu hatuna masihara na kazi zetu
Hujui tu, kabicho bicho uje nikufunze vitu sio unashangaa shangaa tuHivi zimeshafika E??
Dunia inaenda kasi.
Yaani tayari E iko mtaani?Hujui tu, kabicho bicho uje nikufunze vitu sio unashangaa shangaa tu
Nakuundia mkatati ili ujue umoHatumo hatumo
Hatumo miongoni...
hatumo (kwa sauti ya Rose Muhando)