Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Yaani mimi nimekula chakula Cha baba mara nyingi TU.

Na nilikuwa mikiugua naenda hospital na baba..hii alikuwa anafanya willingly,hata siku nikienda mwenyewe hospital mzee ananifuata.

Usafi wa nje alichukua jukumu kufanya na hata kazi nyingine nyingi TU alikuwa akifanya na ndoa ilidumu.

Wanaume wa siku hizi wanajitoa ufahamu..
Mimi mwanaume anaye act kama mlemavu simtaki.
eti mtu anasimama anavua nguo anaacha hapo hapo anajiita mume
mke akiumwa mpaka boxer inaenda kwa Dobi
 
Honestly, I have been going through your posts especially on relationships and marriage.

The truth is, 'you have developed a negative attitude and hence a distortion of your view on the issues'.

You see nothing positive on marriage. All you think is about disappointments.

If that had happened to either friends, family member or you, then don't take everything about on such a negative perspective way.

Count the good, compliment the best on marriage and hope it will be good for others.

Yaani, unachowaza ni usaliti na uasherati kwenye ndoa kama vile hivyo hutokea kwa familia zote. Kuna familia zina furaha, hawasalitiani, wanashirikiana na zaidi wanamjua Mungu.

Stop being a harsh feminist. A man is a man. You will never change the fact that you were born a woman. Hata ufanyaje, u will never be as stiff as men.

Badilika Mkuu.
Haha kwa bahati nzuri au mbaya hakuna sehemu nimesema i need to change the fact that i was born a woman and infact naona kama i am better off being a woman cause ningekuwa mwanaume nahisi ningefanya mambo ya ajabu sana

Na hakuna sehemu nimesema ndoa zote ni mbaya lakini kwa dunia ya sasa tukichukua idadi ya ndoa nzuri na mbaya tutajua zipi ni nyingi na tutajua tunakoelekea kuliko kukaa kudanganyana wakati tukija kwenye uhalisia ni tofauti

Sidhani kama hata unajua maana ya feminist mkuu sababu naona wanaume wengi wa jf huwa mnalitumia hili neno isivyotakiwa sasa sijui ni mihemko au ni kutokujua ila huwa mnalitumia kama defensive mechanism ili kukwepa hoja
 
Deeh..

Ndio ivyo, ukirudi kwenye Genesisi ya mwanadamu kila kitu kipo wazi, na ile ndio foundation ya maisha ya mwandamu ila ishakuwa compromised. Imefika kipindi tunaangalia maumbile zaidi katika kutenganisha mambo ila haiko ivyo, mwanaume na mwanamke ni kitu kimoja hakuna alie juu ya mwenzake na hakuna alie chini ya mwenzake, isipokuwa alie source huwa tunaita mwanaume so hata mwanamke pia anaweza kuwa source . ila kimaumbile ni katika umoja wetu wa kutekeleza task flani flani.. ila kimajukumu na kimuundo source ambayo tunaita mwanaume anauwa kichwa kwa kile alichotoa katika chanzo chake na kichwa kivipi ? sio ku contorl mambo
Aisee unaonesha wewe ni mwanaume unayejielewa na unajua umuhimu wa ndoa na thamani ya mwanamke sasa mbona ulikuwa unaongea vitu vya ajabu hadi nikajua nawe ni wale wale tu wanaodharau wanawake au unachangamsha jukwaa tu
 
Aisee unaonesha wewe ni mwanaume unayejielewa na unajua umuhimu wa ndoa na thamani ya mwanamke sasa mbona ulikuwa unaongea vitu vya ajabu hadi nikajua nawe ni wale wale tu wanaodharau wanawake au hayo ni maneno tu
Hii Jf ndugu hatujuani, wakati mwingine tunapiga story ila nilicho andika mwisho ndio mimi nikiwa serious kidogo
 
Pengine ndio hivyo
Kinachosumbua sana watu ni hisia tu, mtu anashindwa kuelewa kapenda kweli au hisi zake zimewaka juu ya mtu flani. Na hisia za mapenzi huwa zinadumu mda mrefu sana hadi pale unapo anza kukutana na madhaifu ya mwenzako zinaanza kukata, kitu amabcho kwenye upendo hakipo.. upendo hata siku moja haujawai kutafuta mabaya au udhaifu wa mtu
 
Kila nikijaribu kudandia huu muendelezo ili twende sawa lkn nadondoka Sasa sijajua nakosea wapi !!!sijui sababu sioni habari za engine,matairi na location au mnatimua sana vumbi kiasi nashindwa kuona mbele kwenye road[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dandia popote Mkuu.
 
Trip ziendelee.

Hivi na sisi wa mwendokasi tunaruhusiwa kuweka picha?
IMG_20210916_173917_7.jpg
 
Si ndiyo maana nimewaambia haya maneno huwa wanaishia kuandika tu mitandaoni kwa sababu hatujuani lakini tukija huku mitaani kila weekend kuna harusi na wanaoolewa ni hao hao single mothers na makahaba wastaafu hakuna mabikira

Watu wanadhani eti mtu ukishaoa au ukishaolewa basi tayari moja kwa moja una ticket ya kwenda mbinguni bila kujua kuwa hiyo ndoa at some point in life inaweza kukufanya ukatenda dhambi moja matata sana ukawa shosti wa shetani

Kwanza hizo ndoa zenyewe siku hizi nyingi zimejaa uzinzi na uasherati tu mtu kaoa au kaolewa lakini anachepuka kama kawa tena kwa ufahari kabisa mtu anasema mimi sitosheki na mwanamke mmoja eti nature wakati ni kinyume na maandiko
[emoji38]
 
Juzi nimepiga kirikuu yangu gunia tisa za mkojo nikaamsha dar arusha, kuna prado kama mia tisa nimezipita kama zimesimama.

Kuna mmoja nikataka mpk kusimama nimpige kofi. Nikampiga pasi makusudi anifukuze, nikampoteza kati ya makanya mpk hedaru [emoji3][emoji3][emoji3]

Kama huna benz, prado, VX, BMW n.k like hii comment tuwakomeshe hawa wapiga debe wa used za japani. Kisha Tukutane stendi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom