Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kweli hali ni ngumu aisee! Bora kubaki single for life 😂
 
Hata mie nashngaa, napika hatari sio najisifia ukweli.. nikipata ugeni naingia jikoni wengine wote wanakaa nje .. nafanya vitu
Daah mnajiamini. Wengine sijui tuna shetani gani siku tukitembelewa na ugeni wa heshima tukipika ndiyo mara umeunguza mara umezidisha chumvi unaonekana bure kabisa wakati tukiwa tunajipikia wenyewe wala hatuharibu yaani shetani mchonganishi sana sijapata kuona. [emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]
 
wageni wakija ndio mahala pa kuchukua ujiko sasa .. hakikisha unabalance emotion zako
 
mimi mtoto wa mtu ataniharibia ratiba zangu na style ya kuosha vyombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…