Na unavyopenda sasaEee bwana vitamu vyenyewe ndio ivyo
Umenigeuzia tena kibao kuwa mie ndio napenda 😳😳😳😳Na unavyopenda sasa
watoto wa wajeda 🤭🤭🤭🤭Kweliiii
Sasa mimi siwezi. Kwanza kwata tu la shule muda wa kukimbia nilikuwa najificha chooni.
Utanikuta dodoma nakunywa maji mkuu[emoji3]trip inaanzia dar es salaam
kumbe ww push- up kwenye godoro [emoji23][emoji1787]Msituchukie jamani. Mbona hatuna shida?
Joto limefikia huko😂Huku bado kidogo tutageuka mishikakiView attachment 1969260
Huku usisema yaani unatembea unasikia harufu ya nyama chomaJoto limefikia huko[emoji23]
ISO akilewa utatamani ukae naye muda wote...mcheshiiii.Nampenda bure mimi.Sasa hawa umewaingiza sasa hivi! Wale wengine ndiyo nilikuwa nasema siyo wapole!
Ila hao uliowataja sasa hivi Holy Man naweza nikasema anaonesha kabisa kuwa ni mpole sema kuna muda anajitoaga tu ufahamu humu jukwaani. ISO siwezi msemea sana maana sijamuelewa elewa vizuri bado ila kama ndiyo yuko hivyo ulivyosema basi ni jambo jema.
Geukeni tuwakule.Huku bado kidogo tutageuka mishikakiView attachment 1969260
Waacheni wenzenu 🤣🤣 nyie si mlichelewa kukatwa bogi? Mkaona kuhudumia u service ni bora kuliko kwenda kuvaa kakikumbe ww push- up kwenye godoro [emoji23][emoji1787]
Kyela ni wilaya ya ajabu sana Mbeya..ikaamua kujibebea joto.Huku bado kidogo tutageuka mishikakiView attachment 1969260
Acha madharau D, kwamba karanga ni bora kuliko kaki? Karanga ungekula msoto Sana na ungelikumbuka bogi la kaki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wanajila kweli.
Mimi nilichomokea six tukaunganisha, ningejila U-service bora ningerudi kwetu tu au nivae karanga milele kuliko kuvaa khaki [emoji3][emoji23]
Nakuzingua tu "raia mkakamavu"Acha madharau D, kwamba karanga ni bora kuliko kaki? Karanga ungekula msoto Sana na ungelikumbuka bogi la kaki.
Wee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina lengo lolote, nimejaribu kumwambia the really you. Maana anayekujua sio wewe kabisa
[emoji38][emoji38][emoji38]Sapoti ya kubambiwa na kukamatwa nyonga kwa nyuma vipi [emoji28] ina mchango katika pishi tamu?
Kanipiga beat Kali.Wee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli?
Nihadithie zaidi mwee
Nihadithie tu mwaya,usimuogope[emoji23][emoji23]Kanipiga beat Kali.