miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kabisaaa. Halaf inatakiwa uvimbe kama afisa kipenyo. Wala hutambulishi cheo chako. We unawapa taarifa trafiki halaf unawaambia nutafuatilia hili jambo niko zaidi ya serious halaf unatembea lzm watetemeke. Unawaachia na hilo 10 la kiwi[emoji23][emoji23][emoji23]Wao ndio wanakula 10k wanatulia, ningewatisha naifikisha hii ripoti kwa boss wao.
Hata Kilimanjaro Express nazo! Hao ni kwenda nao sambamba tu!Nimetaka na kucheka ila nimejizuia nashindwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Poole sana aisee. Halaf arusha express lilivyo bovu sasa. Hapo wanaambiana na konda nimempelekea moto akome next time. Yaan i feel u na nilivyo muoga. Nawaheshimu sana wenye ujasiri wa kuendesha magari na hawa watu. Sithubutu. Na unq ujasiri aisee. Ingenichukua muda kweli.
Sema siku hizi wanazingua zingua hawa.Hata Kilimanjaro Express nazo! Hao ni kwenda nao sambamba tu!
Nilipandisha Dar-Songwe Mkwajuni siku ya Xmas.Umetoka Uyole kwenda wapi
Huyo Mjep natamani nimjue
Yeah mkuu, Mbeya 2 Dsm huwa napiga maji mixed by energizer. Ile hufungi jicho kodo!Umeendesha usiku?!
Asante mkuu we ushashuka town?Hongera umetoboa
Shikamoo mkuu... hongeraYeah mkuu, Mbeya 2 Dsm huwa napiga maji mixed by energizer. Ile hufungi jicho kodo!
Nilipata na pace maker basi ikawa burudani. Speed 75-103
Aaaah! why?Samahani sina nia mbaya ila naomba kuuliza tu. usiogope. kuuliza si ujinga wahenga walisema. wewe Demu? km demu una miaka mingapi hivi? any way nisikuchoshe
Njoo in Box Mkuu! au km uko Dar rahisi sana fanya hivi nenda moja kwa moja mtaa wa swahili na siku kuu! kunako Hotel y Bakhresa agiza unavo taka Bill kwangu. au Kawe nenda ukwamani pale au ingia tu jeshini mle mpaka sehemu inaitwa Mabatini agiza unavotaka wananijua wote wale vijana!! ukija saa 2 usiku utanikuta pale lazima!
Au Tabata kimanga nenda kwa Mangi polisi Bar, au Mawenzi Bar ile ni yangu kama uko Temeke nenda My wii!! Matako bar wana huduma zote au ukitaka chips nenda paree Masangati! masaa 24 hapo. ukikwama nipigie! wana number zangu wale wote!
Marhabaa chuchu bae! Asante nimerudi salama..Vipi hukwenda Moshi kuhesabiwa?Shikamoo mkuu... hongera
Yaani acha kabisa ni raha sana sijawahi kuona! Mtu wala hauchoki na safari!Jahahahahahaha yaan mkuu nimefurahi maana tumefanana aisee. Toka primary siti yangu ni nyuma ya dereva. Hiyo inajulikana. Msichana peke yangu the rest ni boys. Tunapiga story na dereva balaaa. Sijui yupe dereva mzee juma wa dar express kama bado. Tunawanunulia na bia kbs ili wakimbize tuwahi kufika dethilamu.
Panachangamkaga balaa. Mkinunua vitu mnashare kama kawa. Na akikimbiza wala huogopi. Mi najua dereva hataliangushia upande wake[emoji23][emoji23] analilaza kwa konda. Upande wa konda sikaagi.
Umeshaitest DVANipo mjini mkuu
Aisee ulienda tu kula sikukuu au kuna kingineNilipandisha Dar-Songwe Mkwajuni siku ya Xmas.
Hahaha nimeona kitu kama crown majesta.Hongera sanaNishaizibua hadi mwisho wake....!
Hamna tochi bana.Ila tochi kama zote...askari wameshajua kuwa watu wanatest spidi kule..[emoji38][emoji38]
Kabisa unawaacha wanahangaika.Kabisaaa. Halaf inatakiwa uvimbe kama afisa kipenyo. Wala hutambulishi cheo chako. We unawapa taarifa trafiki halaf unawaambia nutafuatilia hili jambo niko zaidi ya serious halaf unatembea lzm watetemeke. Unawaachia na hilo 10 la kiwi[emoji23][emoji23][emoji23]