Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu, asante sana. Dubwana hili la Jamii Forums ni kubwa sana na lina watu wa kila aina, na wanaona.. ngoja tusubiri
 
Brother.. Mamlaka hapana, wengine tunapenda sana giza kuliko mwanga, tuna principles pia katika maisha yetu "anonymous is the key".

Ndio maana kwenye comment yangu pale nilisema.. kila mtu analitumikia taifa kwa namna fulani fulani, awe ni askari ama sio askari.
 
Halafu nyie watu wa mbeya bhana !!! Huwa mnakuja dar chuo tu kwa mara ya kwanza[emoji1787]
 
Bambalaga, nilikuwepo pale last month.. mabaunsa wao miyeyusho sana.. wakikuona kijana kijana au wa castle lite 2 unakunywa masaa 3 huingii.. kuna jamaa yetu walimzuia bahati nzuri baunsa mmoja nafahamiana nae alikuwa mkoa fulani kipindi cha nyuma ndio nikamuomba akamuachia jamaa aingie [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…