Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ili kumpunguzia safari ya kupanda milima kuja hapo Singapore itapendeza wewe mwenyeji ushuke fasta uumpeleke pale bambalaga na viwanja vingine mgeni afurahie
Hili nalo ni neno , natoka singida saa moja saa tatu na nusu nipo bambalaga tunaanza na supu nzito kabisaa.. jumamosi naona panawaka sana pale , shida hawawezi zile za kibabe asubuhi pale wanabaki sana wachezaji wa akiba, wachezaji wote wa maana wanakata pumzi mapema

Offshore Seamen
 
Hili nalo ni neno , natoka singida saa moja saa tatu na nusu nipo bambalaga tunaanza na supu nzito kabisaa.. jumamosi naona panawaka sana pale , shida hawawezi zile za kibabe asubuhi pale wanabaki sana wachezaji wa akiba, wachezaji wote wa maana wanakata pumzi mapema

Offshore Seamen
Kwahio unanishauri nisibebe mbuzi, nibebe chumvi pilipili na kisu tu?!
 
Holy Man ISO M.CodD wiki ya kwanza mwezi ujao nina trip ya Dodoma. Sijawahi kupita njia ya Kati zaidi ya Morogoro. Nipeni dondoo njia ikoje hasa kwa gari zetu zinazotembelea tumbo!
Ukiwa unaimaliza gairo kuuanza mkoa wa dodoma, kuna kimuiniko kimoja kireeefu..

Sasa juzi alhamisi wameweka vituta vyembamba lakini vikali sana. Gari za chini lazima zikwangue labda wawe wamerekebisha.

Kwa kifupi huo mpando wameuharibu kabisa! Ikitokea malori yamekutangulia hapo ni balaa
 
Ukiwa unaimaliza gairo kuuanza mkoa wa dodoma, kuna kimuiniko kimoja kireeefu..

Sasa juzi alhamisi wameweka vituta vyembamba lakini vikali sana. Gari za chini lazima zikwangue labda wawe wamerekebisha.

Kwa kifupi huo mpando wameuharibu kabisa! Ikitokea malori yamekutangulia hapo ni balaa
Huwa nabaki na maswali mengi sana kuhusu mainjinia wetu.
 
Ukiwa unaimaliza gairo kuuanza mkoa wa dodoma, kuna kimuiniko kimoja kireeefu..

Sasa juzi alhamisi wameweka vituta vyembamba lakini vikali sana. Gari za chini lazima zikwangue labda wawe wamerekebisha.

Kwa kifupi huo mpando wameuharibu kabisa! Ikitokea malori yamekutangulia hapo ni balaa
Sio Ranchi ya Kongwa kweli hapo?
 
Bado anaweza akawa askari asie na mamlaka wala uniform na Taifa likanufaika yeye sana. shida watu wanapenda mamlaka pia. Ukitaka taifa linufaike na kuwa salama hauitaji kuwa askari hata [emoji3][emoji3] hata kuhakikisha kipindu pindu na malaria mtaani kwako vinatokomea nayo ni huduma kubwaaa sana
Haha nchi ngumu hii bwashee bila mamlaka Utapata taabu sana
 
Hili nalo ni neno , natoka singida saa moja saa tatu na nusu nipo bambalaga tunaanza na supu nzito kabisaa.. jumamosi naona panawaka sana pale , shida hawawezi zile za kibabe asubuhi pale wanabaki sana wachezaji wa akiba, wachezaji wote wa maana wanakata pumzi mapema

Offshore Seamen
Singapore hapo ni hatari sana, unaweza ukatafuta breakdown ili ubaki.
 
Back
Top Bottom