Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Ndio mimi hapa, njoo unichumu basi kama umenielewa mpenziHuyu dogo namuelewa. Zamani zamani nilimuelewa sanaaa 🤣
Ahaha kwendraaaa.Ndio mimi hapa, njoo unichumu basi kama umenielewa mpenzi
Nichumu hata kidogo basiii babiii🥲🥲🥲Ahaha kwendraaaa.
Kwani hata uraiani ni raia wangapi wanakunja hizo M50 kwa mwezi? Kama siyo wale wafanyabiashara wakubwa wenye biashara zinazoeleweka au wale viongozi na managers ama directors wapigaji?Labda mwenzio anamaanisha kukunja kuanzia M50 kwa mwezi, tukizungumzia hapo hakuna LT wa M50 per month. [emoji1787]
Mkuu nawewe umeenea pande zote ha ha haaaTinted full nasumbuana sana trafic wakuda, nimeipaga M3 gari yote kuanzia mbele .. madirisha yaani huoni ndani usimame popote pale .. trafic huwa wana mind baadhi ila nakomaa nao tu
Kwa watu wa misheshe ndani ya gari tinded muhimu, unasimama hapo kwenye kioo unatoa macho kama unataka ingiza uzi kwenye sindano.. mie nabebika tuu 😀😀😀Mkuu nawewe umeenea pande zote ha ha haaa
Yuko vizuri. Mie nilianza muelewa kwenye ile "tunapeta" namna alivyoshusha ile mistari.Huyu dogo namuelewa. Zamani zamani nilimuelewa sanaaa [emoji1787]
Kwani LT gani anakunja 10 kwa mwezi 😀😀.. maana hii mie najua wahuni kibao town wanatengeza hii pesa ndani ya mwezi.. mshahara sio wa kuvumba labda kama waishi maisha yako standard sawaLabda mwenzio anamaanisha kukunja kuanzia M50 kwa mwezi, tukizungumzia hapo hakuna LT wa M50 per month. 🤣
Hakika mkuu, Kupata mshahara mkubwa ni jambo moja na kujiongeza ni jambo jingine.Maisha ni kujiongeza mkuu wangu, maisha ya mshahara hata uwe Kanali au Jenerali wa nyota moja au mbili, usipo cheza vizuri utashangaa mwenyewe
Mshahara mkubwa kwako unaanzia shilingi ngapi ?Hakika mkuu, Kupata mshahara mkubwa ni jambo moja na kujiongeza ni jambo jingine.
Hao wakubwa wanaofilisika na kutia huruma ni kwamba tu hawajiongezi lakini kusema kwamba wanapata hela ndogo ni uongo! Si nilikuambia kuna yule jamaa sergeant ila ana maisha mazuri na hana njaa wakati kuna captains wana njaa na maisha ni ya kubangaiza sasa utasema kwamba sergeant (V3) analipwa zaidi kuliko captain ([emoji294]3)?
Aabbssoolluutteellyy!!Unaweza ukawa na power usiwe na Authority na unaweza ukawa na Authority usiwe na power. Authority na Power vitu viwili tofauti.. Na pesa ni kitu kingine.. But behind ya pesa kuna power
Umeona huwa na tu akili sometime japo tunakuja na kukata 😀😀😀😀Aabbssoolluutteellyy!!
Hahaa anatoa Macho kama fundi saaKwa watu wa misheshe ndani ya gari tinded muhimu, unasimama hapo kwenye kioo unatoa macho kama unataka ingiza uzi kwenye sindano.. mie nabebika tuu [emoji3][emoji3][emoji3]
huwa trafic wana mind sanaaa , ila sasa wanakuwaga wapole tu.. naendelea na maisha yangu tinted inanipa sana rahaHahaa anatoa Macho kama fundi saa
Hahaa naomba Tuishie hapa [emoji16][emoji16] [emoji3][emoji3]Mshahara mkubwa kwako unaanzia shilingi ngapi ?
Khaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umeona huwa na tu akili sometime japo tunakuja na kukata [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa heshima yako naishia hapa hapa 👨🏿🦳👨🏿🦳👨🏿🦳Hahaa naomba Tuishie hapa [emoji16][emoji16] [emoji3][emoji3]
Amen [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Kwa heshima yako naishia hapa hapa [emoji2572][emoji2572][emoji2572]
Huu wimbo umebeba staili zake nikajua ni wake kumbe kashirikishwa.Verse 2:
We unaita Volkswagen mi naita Vimba wewe,
Ukipanda funga mkanda afu anza kuringa wewe,
Speed ya mwewe na inafika hapo mbele tu,
So iconic Dar nzima iko yenyewe tu,
Siyo ya mkopo siyo ya baba ni ya kwangu,
Acha waseme nna nyodo bro nimeipata kwa taabu,
Masnicth wanatia adabu wakiona naingia club,
Jinsi imetulia parking basi inavutia ajabu,
Bei ya rims tu nanunua vitz,
Sa nkikupa bei ya mziki utaniona chizi,
Polisi akisimamisha anaomba hadi kupiga picha,
Piga picha baba uende ukavimbe insta,
Gauge haishuki, vioo juu,
Hamna kupanda mamluki ni watu poa poa tu,
Uswazi hunikuti, staki roho juu,
Wasije kukwangua rangi hawajui bei juu.
Chorus:
Ukiona gari kali hujawahi kuiona basi ujue hii ndo gari yangu,
Yenye mziki mkali ikipita utaguna bass lake hii ndo gari yangu,
Nasema owe ah ah gari yangu,
Owe ah ah gari yangu×3.
Bwana angu anakunja 🤣🤣 au unataka na SS? AhhaaaaKwani LT gani anakunja 10 kwa mwezi 😀😀.. maana hii mie najua wahuni kibao town wanatengeza hii pesa ndani ya mwezi.. mshahara sio wa kuvumba labda kama waishi maisha yako standard sawa