Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Umeona wajeda ambao wametoka mmoja ana Versosa nyeusi na mwingine ana IST ya kijivu ?Nipo maeneo hayo pembeni ya bar inayorekebishwa.........ila audi siioni
Mie kila siku nipo ndio naishi huku, jioni nakuwa pale Oryx .. kama nikiona town uzushi mwingi.. natulia hapa then jioni mala moja moja NDCDaah sema niko mbali kidogo na mitaa ya huko japo tuko manispaa moja na umbali siyo mrefu sana kwa gari! Ila siyo mbaya mola akijaalia tutaonanaga tu!
Kumbe unaishi Kunduchi, huwa napita hiyo njia ya chini mara moja moja.Mie kila siku nipo ndio naishi huku, jioni nakuwa pale Oryx .. kama nikiona town uzushi mwingi.. natulia hapa then jioni mala moja moja NDCView attachment 1978998
Hahaa sasa Ukisema uondoke na kila mhudumu anayekutabasamia utaondoka na wangapi mkuuKumuachia tip au niondoke nae kabisaa [emoji2572][emoji2572]
Wajomba Zake tutamtumia mchele,ndizi na viazi iwe kwenye Nganga au Hakuna kulala utapokea Kimara.😄
Hunitakii mema,
Atakula nini mtoto huku Dar?Joto?
Nipe takwimu za ecosystem ya hapo swala wapo wengi kuzidi Simba au Kiwanja kimejaa Simba ikipita swala macho yote kwake.alie karibu na NDC park, akaribie nipo viwanja vya wajeda jeda 😀😀😀
Karma
mzee mwenzangu Offshore Seamen
Maji ya kisigino la haula la kwata samaki anavuliwa bila chambo na ndoano.Kumuachia tip au niondoke nae kabisaa 👨🏿🦳👨🏿🦳
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...tuko mbali....umbali siyo mrefu sana...you are blushing my dear [emoji23][emoji23][emoji23]
Jumatatu huwa hakuna balance kabisaaa 😀😀😀Nipe takwimu za ecosystem ya hapo swala wapo wengi kuzidi Simba au Kiwanja kimejaa Simba ikipita swala macho yote kwake.
Karibu sana mkuu, tupo majirani kabisaKumbe unaishi Kunduchi, huwa napita hiyo njia ya chini mara moja moja.
Karibu Mbweni mkuu, siku nikipata muda tutaonana huko.
[emoji38]Wajomba Zake tutamtumia mchele,ndizi na viazi iwe kwenye Nganga au Hakuna kulala utapokea Kimara.
Fanya hivyo kaka zako tunataka siku Moja tukuage kwa Ngoma ya Mtoto wa Soko Matola Young D, ule wimbo wa dada huyo anaolewa.[emoji38]
Safi sana.
Sokomatola mitaa yangu[emoji38]Fanya hivyo kaka zako tunataka siku Moja tukuage kwa Ngoma ya Mtoto wa Soko Matola Young D, ule wimbo wa dada huyo anaolewa.
Karma hatatusaidia kuweka mashairi ya huo wimbo.
Mwanzo anataja Mitaa yenu from Soko Matola Kajunjumele kwa Mwakitumbili.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Fanya hivyo kaka zako tunataka siku Moja tukuage kwa Ngoma ya Mtoto wa Soko Matola Young D, ule wimbo wa dada huyo anaolewa.
Karma hatatusaidia kuweka mashairi ya huo wimbo.
Mwanzo anataja Mitaa yenu from Soko Matola Kajunjumele kwa Mwakitumbili.
M performance are less powerful to m competition. They can be 40i & 50i.Halafu hivi eti kati ya M Performance na M Competition ipi iko Vizuri zaidi
Pana ka upuuzi flani paleBambalaga, nilikuwepo pale last month.. mabaunsa wao miyeyusho sana.. wakikuona kijana kijana au wa castle lite 2 unakunywa masaa 3 huingii.. kuna jamaa yetu walimzuia bahati nzuri baunsa mmoja nafahamiana nae alikuwa mkoa fulani kipindi cha nyuma ndio nikamuomba akamuachia jamaa aingie [emoji3]
Shukrani kwa ufafanuzi wa kina MkuuM performance are less powerful to m competition. They can be 40i & 50i.
M competition ndo top notch kwenye performance kwa bmw. The most powerful ones zina 625hp zipo kwenye x6 na x5. M competition za X3, X4, M3, M4 zina 510hp.