Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Umenikumbusha nilikua na Ka IST ka mkopo niliunga na msafara from Kibaha to dodoma niliwasha taa na fog traffic walijua ni Usalama labda.
[emoji23]hahaa...yani bahati yako nzuri. Kuna mwingine gari ilitoka ya msafara ilitoka kwenye msafara ikamuweka mtu kati jamaa alounga kwenye msafara. Jamaa akamsimamishwa..hahaa na wakaichukua leseni yake asee..dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani kwenye ulakshari Al saedy ni la mwisho.
Hata AC zao zimeharibika.
 
Ukatandika lipicha ndani ya Anticurreted

Udart wanakuchora tu dadake[emoji3]

Ila Karma si yupo[emoji41] atakutetea

Ndio kariba iliyojazana humo/huko[emoji2089][emoji2089]
Hahahaha
Atanitetea akishirikiana na jirani yangu dere.


Ila watu waliokuwepo watanijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…