Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Gari inatembelea E- Eliza daily ni mwendo wa kushindana na kuizima taa ya mafuta ikiwaka unaenda sheli kuizima tena unaendelea na misele[emoji28]!

Siku gari ikipigwa F- Mswaki ujue inahama mikoa hio [emoji28]
Hahaaa kweli asee tunajaza ili kuzima taa tu. Hii ndiyo ile inaitwa "hatuli kushiba tunakula kumaliza".
 
Sasa we unataka uweke full tanki uende wapi aisee😂 shida ya gari ikiwa na mafuta mengi ndio unapata akili za Kijana wa hovyo hovyo kutoka Dar kwenda Cate hotels Moro kunywa kahawa😅 na kurudi
Gari unakuta lita moja linaenda 18km, ukizidisha mala lita 4 unapata 72km lina nusa tu 😁😁😁😁
 
Wewe mtoto hebu Acha balaa! Sisi ni wabishi tu,maisha haya bila ubishi hayaendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…