ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Naona kweli siku hIzi unapiga vitu maana umeshusha maneno leo [emoji28]Yaani petro stations kuna comedy za kila aina..
Wengine wakiona bei ya mafuta wanaanza kutukana viongozi wa serikali..atatukana hadi anaondoka.
...........................................
We jamaa ukifika nitafute tunywe bia mbili tatu.