Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Amkeni amkeni ule mwezi wa road trip ndio huu.....wiki ijayo nafanya service kabisa kujiandaa na northern zone trip!
i feel proud to say that mimi ni mmoja ya watz ambao nimeizunguka sana hii nchi kwenye roadtrip zangu mbalimbali mijini na vijijini.

mda huu nikiwa naandika comment hii, nipo hapa "kanda maalum" musoma nimekuja kikazi.

mikoa ambayo nimebakisha kufika ni michache sana ikiwemo rukwa, kigoma na pemba(kama inavyonekana kwenye ramani).


IMG_20211219_232921.jpg
 
i feel proud to say that mimi ni mmoja ya watz ambao nimeizunguka sana hii nchi kwenye roadtrip zangu mbalimbali mijini na vijijini.

mda huu nikiwa naandika comment hii, nipo hapa "kanda maalum" musoma nimekuja kikazi.

mikoa ambayo nimebakisha kufika ni michache sana ikiwemo rukwa, kigoma na pemba(kama inavyonekana kwenye ramani).


View attachment 2050379
Hongera mkuu
 
Wala sijaona changamoto yoyote trip zote ninazopiga.. Hamna sehemu naenda hakuna lami. Na hamna hata tuta moja highway gari inagusa chini. Last trip ya Dom nilipiga tuta pale ranch na mwendo mkali Sana na gari Hadi leo iko poa. Napenda gari ya chini kwasababu ya stability.
Kuna tuta moja pale halina vile vi rasta wala kibao. Lakini zaidi matuta Yale ya kiyegea mpaka mabasi Yana gusa pia na zile za gairo ndo kiboko zaidi
 
i feel proud to say that mimi ni mmoja ya watz ambao nimeizunguka sana hii nchi kwenye roadtrip zangu mbalimbali mijini na vijijini.

mda huu nikiwa naandika comment hii, nipo hapa "kanda maalum" musoma nimekuja kikazi.

mikoa ambayo nimebakisha kufika ni michache sana ikiwemo rukwa, kigoma na pemba(kama inavyonekana kwenye ramani).


View attachment 2050379
Hongera sana mkuu. Mimi Tz bara sijafika Kigoma, Rukwa na Katavi basi.
 
40 Days 2022/2023 adventure around Tanzania main land.

1. Gari ipo, Land Rover Defender 110 / 2021 Station Wagon.

2. Wanao hitajika ni wadau watano (5), wanawake watatu (3) na wanaume wawili (2) na mimi mwenyewe jumla tuwe watu sita (6).

3. Wakijitokeza watu wengi zaidi utaratibu wa kupata (ma)gari (me)ngine utafanyika.

4. Tutatembea zaidi ya kilomita 6,000 kwa siku 32, siku 8 zitapotelea katikati kadri tutakavyo amua.

5. Makadirio ya gharama ya mafuta ni 1.8M hadi 2m.

6. Mchango kwa kila mdau itahitajika 1.5m ambayo itagharamia mafuta, chakula, malazi na utalii.

7. Mchango haukusanywi bali kila mmoja ajiwekee akiba benki au popote pale kuanzia sasa hadi mwezi October 2022 panapo majaaliwa ambapo tutafanya kikao na kupanga safari yetu, lengo liwe hadi kufikia 5 Disemba 2022 tuwe tumemaliza mzunguko wetu.

Mawazo chanya, yanakaribishwa, kuhusu Route, gharama, usahihi wa umbali, usalama, nk.

8. Mapendekezo yangu ya route iwe ni kuzunguka pembezoni mwa Tanzania kama ifuatavyo:-

Day 1
Dar - Lindi - Mtwara, almost 600km.

Day 2
Mtwara - Masasi - Mtambaswala, almost 320km.

Day 3
Mtambaswala - Masasi - Songea, almost 500km.

Day 4
Songea - Mbinga - Mbamba bay, almost 180km.

Day 5
Mbamba bay - Songea - Njombe, almost 420km.

Day 6
Njombe - Makete (via Kitulo) - Mbeya, almost 170km.

Day 7
Mbeya - Kasumulu, almost 120km.

Day 8
Kasumulu - Mbeya Tunduma, almost 230km

Day 9
Tunduma - Sumbawanga - Kasanga, almost 350km

Day 10
Kasanga - Sumbawanga - Muze - Lake Rukwa, almost 180k.

Day 11
Lake Rukwa - Muze - Namanyele - Kibaoni - Majimoto, almost 180km.

Day 12
Majimoto - Kibaoni - Stalike - Mpanda, almost 150km

Day 13
Mpanda - Uvinza - Kigoma town, almost 320km.

Day 14
Kigoma - Kasulu - Nyakanazi, almost 350km

Day 15
Nyakanazi - Lusahunga - Nyakahura - Kobero border, almost 150km.

Day 16
Kobero border - Nyamiyaga - Rusumo border, almost 70km.

Day 17
Rusuma - Nyakasanza - Mtukula, almost 250km.

Day 18
Mtukula - Bukoba town, almost 90km.

Day 19
Bukoba - Biharamuro - Geita - Mwanza, almost 450km.

Day 20
Mwanza - Bunda - Musoma - Migori, almost 300km.

Day 21, 22, 23, 24
Migori - Tarime - Serengeti, almost 200km + other 200km.

Day 25, 26
Serengeti - Ngorongoro, almost 70km + 200km.

Day 27, 28
Ngorongoro - Karatu - Arusha, almost 200km.

Day 29
Arusha - Segera - Tanga - Horohoro, almost 550km

Day 30
Horohoro - Tanga town, almost 70km + 50km.

Day 31
Tanga - Pangani - Sadani, almost 200km.

Day 32
Sadani - Bagamoyo - Dar es Salaam, almost 180k.

Karibuni kwa mawazo chanya kwenye uzi wa link hii


___________
JBourne59
 
Eeh. I had a road trip juzi usiku to Arusha. Sijaenjoy wala nini. Ni homa na mafua balaa. Full kulala kama pono. Karibuni jamani tuko moshi sasa. Musizidi kuchelewa
Have a nice trip guys.. muwe makini na utelezi. Huku kaskazini mvua zanyeshaa...
Poleni pia wenye homa na mafua, vikohozi etc...

Merry Christmas in Advance

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom