Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?

Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
Hahaaa eti bibi kizee wa kijerumani, huo sasa ni utani wa ngumi. Hata sijui mwanzo nilikuwa nao sambamba naenjoy ligi yao, ila baadaye wakapepea sijui nani aliibuka mshindi huko mbele.
Hii ligi yenu mkiipeleka kwenye ile thread itapendeza sana.
 
Eeh. I had a road trip juzi usiku to Arusha. Sijaenjoy wala nini. Ni homa na mafua balaa. Full kulala kama pono. Karibuni jamani tuko moshi sasa. Musizidi kuchelewa
Have a nice trip guys.. muwe makini na utelezi. Huku kaskazini mvua zanyeshaa...
Poleni pia wenye homa na mafua, vikohozi etc...

Merry Christmas in Advance

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
😳😳😇😇😎😎🔥🔥
 
Eeh. I had a road trip juzi usiku to Arusha. Sijaenjoy wala nini. Ni homa na mafua balaa. Full kulala kama pono. Karibuni jamani tuko moshi sasa. Musizidi kuchelewa
Have a nice trip guys.. muwe makini na utelezi. Huku kaskazini mvua zanyeshaa...
Poleni pia wenye homa na mafua, vikohozi etc...

Merry Christmas in Advance

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Dah imeniuma sana miss pablo bianco umetoroka kijanja😅 wakati nilikuwa navizia chance ya udereva tuingie wote Moshi.
 
...Mwee..
Kuna ukweli hapa, au wabongo wameshaanza mambo ya photoshop...[emoji2960][emoji2960][emoji2957][emoji2957]
FB_IMG_16400750655789797.jpg
 
Back
Top Bottom