Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Umenikimbia?😳😳
 
Umbali na barabara sehemu kubwa ni vumbi ni miongoni mwa sababu sinazokwa.isha watu wengi kufika magharibi
Labda umbali mkuu ila barabara mfano za Kigoma mjini angalau ziko vizuri. Na watu wengi wanaotalii huo mkoa huwa wanaishiaga mjini tu wakishaona ziwa Tanganyika basi isipokuwa kwa wale wenzangu na mimi ambao watataka kuona hadi na vivutio vingine kama national parks na historical sites.
 
Haha This Time Hatuendi Mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Safari nzuri on paper, baada ya muda itakata stimu.

Nilipanga mwakani mwishoni nitembelee nchi zote za Sadc ila mambo ya Corona naona hayapo stable.
 
Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?

Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
 
Nani aliibuka kidedea hapo baina ya farasi mweupe na huyo bibi kizee wa kijerumani?

Sema weaving huwa tamu ila iwe muda ambao hamna jam kubwa kama usiku huo mkeka huwa mtamu kweli yani! Hio njia ukiipita kuanzia saa 4.30 usiku utapapenda.
Hahaaa eti bibi kizee wa kijerumani, huo sasa ni utani wa ngumi. Hata sijui mwanzo nilikuwa nao sambamba naenjoy ligi yao, ila baadaye wakapepea sijui nani aliibuka mshindi huko mbele.
 
Hahaaa eti bibi kizee wa kijerumani, huo sasa ni utani wa ngumi. Hata sijui mwanzo nilikuwa nao sambamba naenjoy ligi yao, ila baadaye wakapepea sijui nani aliibuka mshindi.
Ulikubalije wakuache😅, hilo bmw ni la 2005 very aged huwezi fananisha na 2016 landcruiser ki horsepower ki Torque na wala kiuzuri!😅
 
Unaanzisha ligi ya Ujerumani na Mjapan, maana mbele hapo kuna BMW X5 na nyuma na VXR V8 😂😂😂
 
Ulikubalije wakuache[emoji28], hilo bmw ni la 2005 very aged huwezi fananisha na 2016 landcruiser ki horsepower ki Torque na wala kiuzuri![emoji28]
Haha tatizo malori yalinikosesha uhondo na wao walikuwa wanajitahidi kuyakata ili wapate mwanya wa kuendelea kushindana. Basi tu naona bimmer aliamua kupima upepo.
 
Unaanzisha ligi ya Ujerumani na Mjapan, maana mbele hapo kuna BMW X5 na nyuma na VXR V8 [emoji23][emoji23][emoji23]
Haha siyo mimi ni hao ndugu zenu ndiyo walianzisha ligi mie nilikuwa mtazamaji tu. Bimmer maniacs wanajiamini sana kuna wakati wanavimba na hawajali kabisa uwezo wa wanaowavimbia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…