Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Huwezi kukuta IST highway inaenda mwendo wa kinyonge, wote wanakamua balaa!
Hatari sana aisee. Kuna jamaa aliwahi kunipita na Vitz aisee sikuiona hadi naingia Dodoma. Jamaa ni alikuwa anapaa, anaendesha kama kavuta bangi, hata overtake zake hazizingatii tahadhari kabisa. Hawa jamaa hawafai kupewa magari yenye performance kubwa maana tutawapoteza sana
 
Sasa huoni raha hio mwezio anapiga 140KPH kwa 13KM/L wewe ukipiga speed hio hio ngoma inatafuna 7KM/L [emoji28][emoji28][emoji28]
Sahihi kabisa, tofauti ni kubwa sana. Mnasafiri umbali sawa, na spidi sawa na mnafika pamoja lakini mwingine anatumia nusu ya mafuta aliyotumia mwengine. Ndio maana hawa wa Vigari vidogo muda wote wanavinyaga sana
 
[emoji22][emoji22][emoji22]Mjepu mnamchukulia poa sana..??
Zile limiter ndiyo kikwazo kikubwa....
Kwa mfano chukulia 2GR au VQ35, halafu ziwe limiter imechokonolewa...

Si mchezo...
Mjapani wanamletea kibesi sababu anaishia 180KPH ila mi nakwambia siku moja tukutane huko nina Lexus yangu ya 280KPH majibu watayapata mbona.
 
Gari nzuri japo sijawahi kuvutiwaga na Honda cars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…