Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hata korogwe pia, napaona kama katikati.

Ule moto ninaouwasha same naona geji ya mafuta inashuka huku ikikimbia.

Nikifika korogwe kama najaza upya.

Nishawahi toka Arusha mpaka Same geji ya mafuta haijasogea hata jiwe moja.
Safari yangu ya kurudi Arusha-Dar nimeweka full tank hadi pump imekata, nimefika nayo hadi home ikiwa imebaki 7km range. Wakati wa kwenda nilitop up Korogwe nikafika nayo Arusha nikapiga misele yote ikabaki kama robo nikajazia siku ya kurudi
 
Safari yangu ya kurudi Arusha-Dar nimeweka full tank hadi pump imekata, nimefika nayo hadi home ikiwa imebaki 7km range. Wakati wa kwenda nilitop up Korogwe nikafika nayo Arusha nikapiga misele yote ikabaki kama robo nikajazia siku ya kurudi
Kwenda arusha ni kama unapandisha kilima. Utatumia mafuta mengi zaidi ya kurudi ambapo unashuka.

Nikiwa na familia ni kawaida kuacha hata lita 10-15 nikiwa narudi dar.
 
Safari yangu ya kurudi Arusha-Dar nimeweka full tank hadi pump imekata, nimefika nayo hadi home ikiwa imebaki 7km range. Wakati wa kwenda nilitop up Korogwe nikafika nayo Arusha nikapiga misele yote ikabaki kama robo nikajazia siku ya kurudi
Unaendesha mpaka inabaki 7km? Duh huyu mwamba akifika around 30 anageuka desh desh na nyota nyota * * . * *
 
Amenikumbusha mbali miaka hiyo nasoma ..
Kuna dogo alishawahi chorachora daftari la mwalimu la notes.
Mwalimu alinipa nikaandike nyumbani,,ile nimetoka ,,kuja kurudi mezani baada ya muda yaani nilikuta daftari lote la notes za mwalimu limechorwa🤣🤣
Na anaendelea kuchora langu..hapo nikawaza kesho nitamwambia nini mwalimu..dogo namwangalia usoni ananichekea😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣
"Baada ya siku moja kuchotwa kwenye kona fulani huko Babati nikiwa spidi kubwa sana"😂🙌😂🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…