Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Siyo hatuna upendo tatizo foleni za hilo jiji. Zamani wakati bado kula kulala nilikuwa na muda wa kufunga safari from Tegeta to Tabata ili tu nikatafute kijiwe kipya cha kula na kunywa nilikuwa siwazi kuhusu foleni maana sina pa kuwahi.Watu wa Dar hamna upendo kabisa[emoji19]
.....
Huko kigamboni nitsenda kwa kupita darajani..
Ila kwenye maji siji kuthubutu mimi.
......
Tangu maisha yawe magumu huo utoto nimeacha asee kwenda sehemu ni hadi kuwe na jambo la msingi la kunipeleka. Nikimaliza kilichonipeleka ndiyo nitaangalia kama kuna kijiwe kizuri ila siyo nikifungie safari toka huko daah uongo.
......
Basi mimi huwezi amini ile njia ya darajani nayo nina zaidi ya mwaka sijaipita na siipendi sababu iko mbali kwangu ni kama nazunguka. Mixer foleni za ile misemi inayotoka na kuingia bandarini aahh mie ni mwendo wa pantoni tu shwaaa tayari.