Usijali "I know my car"..Kwanini unaita gari yako kimeo? Usiishushe thamani kiasi hicho.....
Niliitaga Simu niliyopewa na baba kimeo, nilimwambia mdogo wangu niwekee kimeo changu chaji. Baba akanisikia kilichofuata hapo ilikuwa ni risala fupi from there naheshimu kila ninachokimiliki no matter kina hali gani...
Pole yake aisee...huyo siyo dereva...faini zote hizo kwa siku..?yaani unabidi uwe mpole hawa jamaa nao wanajifanya vichwa ngumu hawaelewi
mwanzo walikuwa wakikuta Faini imefika 60,000/ au faini 2 wanakushauri ulipe kwanza, lkn kwa sasa wanakung'uta tu jamaa yangu wamemtundika mfululizo ndani ya siku moja
Mie ndiyo maana naipenda sana radarbot. Sema inafaa mkiwa mnasafiri zaidi ya mmoja mwingine anakuwa anamsaidia dereva kuangalia zile cams ziko maeneo gani na hao wazee wa tochi wako maeneo gani.Wazee wa tochi wanakaa sana hizi sehemu. Tena wanakaa zile zinazochosha wanajua hapa uvumilivu utatushinda.
Hahaha kuna mtu alicomment akasema akiziba mlango wanafungua madirisha akiziba madirisha wanatoboa dari sijui ni nani. Aisee nilicheka tena ni humu humu.Kuna watu wameshajua namna ya kumpiga huyu mzee..[emoji38]
kweli kuna haya mabasi ya kati, km FUSO injini nyuma kina ROSA nina wasiwasi vidhibiti mwendo wanachomoa au hawawekiHakuna basi inayoweza kushindana na gari ndogo(sizungumzii Passo au IST). Btw haya mabasi hayana ving'amuzi.
Hawa vijana wa Malori makubwa wakati mwingine wanapewa Malori mabovu hivyo anakuarifu usikae mbele yake mita chache km anakujali.Nilipiga honi lakini haikusaidia
Leo ninatoka Moro, jamaa mmoja akawa hazingatii alama. Ana overtake anavyotaka au akipata upenyo. Nikasema atalipata tu. Nikamkuta mbele kishawekwa pembeni na afande.Wazee wa tochi wanakaa sana hizi sehemu. Tena wanakaa zile zinazochosha wanajua hapa uvumilivu utatushinda.
halafu Gari sio yake, yeye ni Leseni tu kaelekezwa akalete gariPole yake aisee...huyo siyo dereva...faini zote hizo kwa siku..?
pole ni breakdown ya aina gani?Nimepata breakdown maeneo ya Mtera kutokea Dom nilitaka niingie Iringa mapema ili kesho niunganishe Mbeya
..[emoji38][emoji38][emoji38]aliekoment vile nadhani ni Boeing 747 kama sikosei...Hahaha kuna mtu alicomment akasema akiziba mlango wanafungua madirisha akiziba madirisha wanatoboa dari sijui ni nani. Aisee nilicheka tena ni humu humu.
[emoji16][emoji16]pole sana mkuu....naijua vizuri hali iliyokutokea....Hawa vijana wa Malori makubwa wakati mwingine wanapewa Malori mabovu hivyo anakuarifu usikae mbele yake mita chache km anakujali.
Niliovertake mlori upo tupu kati ya Magubike na Dumila wakati kwa mbele kuna jingine linakuja umbali km wa kiwanja cha mpira ile hamadi nimemaliza kukipita kichwa kumbe mbele barabara ni tuta la viazi, sasa uyapande ili ajae mbele apite site yake,
kile kitendo nikiwa gia ya chini kikapunguza mwendo kumbe mlori wa nyuma mteremko breki zimefaeli mwenzangu ni honi na kupangua magear
nilikanyaga na kuhamisha gear mpaka Dumila TRA chooni nikajisaidia napumua
jamaa kafika akaniambia usirudie kuOvertake halafu ukarudi ghafla au ukapunguza mwendo mm breki manati navutaa sana ndio zikubali ningekuingiza uvunguni na familia yako.
Kama kuna dereva anajua huo mshtuko wake ni tumbo la kuendesha kwenye kiti
Whatever it is.... Usiliite kimeo eti.Usijali "I know my car"..
Na ndio maana sijaita la mwingine..
"Be Humble"
Ilikuwa ni mitaa ipi? Ulifanikiwa kupita barabara za East Africa? Zina view nzuri sanaArusha pazuri sana. Nimepita mitaa fulani Njiro imenikumbusha Europe!
Wazee wa tochi wako 50kph zone. Na kabla ya kuingia 50kph zone kuna alama.Mie ndiyo maana naipenda sana radarbot. Sema inafaa mkiwa mnasafiri zaidi ya mmoja mwingine anakuwa anamsaidia dereva kuangalia zile cams ziko maeneo gani na hao wazee wa tochi wako maeneo gani.
Nimeona DVE leo!Magufuli kabana sana [emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1662632