Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Yaani kila sehemu hiyo Dar pana/paliwahi kuwa na maeneo ya uswahiliniNachojua tu Mikocheni ipo ya uswahilini[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kila sehemu hiyo Dar pana/paliwahi kuwa na maeneo ya uswahiliniNachojua tu Mikocheni ipo ya uswahilini[emoji28]
Ndio hapo sasa!Huyu inabidi tumchape viboko. Halafu unakuta hata TMK hajawahi kufika!
Obay na Masaki hapajawi kuwa na hakuna uswazi. Aliokwambia paliwahi kuwa na uswazi akwambie wapi. Usikute mnazungumzia Msasani maandazi road na bonde la mpunga. Maeneo ya mkoloni hayo wamejenga miaka hio sehemu tupu zilikuwa na mashamba ya mkonge.Yaani kila sehemu hiyo Dar pana/paliwahi kuwa na maeneo ya uswahilini
Vipi kuhusu Mbezi ya Magufuli?Yaani kila sehemu hiyo Dar pana/paliwahi kuwa na maeneo ya uswahilini
Ndio mchezo wangu huo. Yani taa zikiwaka kijani na hamna boda boda around ninachomoka vibaya mnoHahahahah mwendo wa weaving tu! Usiombee taa ziwake green niwe mwanzo wa msafara[emoji28] wanyuma huwa lazma niwasomeshe namba.
Ni kiburi tu ya 8 bars on the fuel gauge![emoji28]
True though ile Masaki yote inaitwa Msasani PeninsulaIle yote Msasani hata Capetown fish market ipo Msasani sio Masaki.
Kale ka down ka Morroco bamaga huwa ndio sehemu ya kuchapana mboko! Hakuna cha BMW wala ushuzi ni stiki tu. Nikizima overdrive nikawasha ujue ngoma isambe!😅Ndio mchezo wangu huo. Yani taa zikiwaka kijani na hamna boda boda around ninachomoka vibaya mno
Usiwaze mkuu. Kuna jamaa mmoja humu anajiitaga nani sijui yeye kwenye zile nyuzi zinazohusu sijui kutaja member unayemkubali au kumtakia member unayemkubali heri ya sikukuu fulani huwa analalamika kuwa hajawahi kutajwa.Nashukuru Sana mkuu.
Nimeweka utani sijalalamika.
Hayo mengine ya Kua deal au sio deal nafunika kombe....
Muhimu uhai na afya njema. Mungu awajalie afya njema.
Mie najuaga ni mitaa pamoja na hizo alizotaja extrovert. Sasa alivosema ni majimbo ndiyo kanichanganya, kuwa usikute mi miaka yote najuaga ni mitaa kumbe kitambo yashabadilishwa yamekuwa majimbo, maana hii nchi kila mwaka vijiji, mitaa, kata, majimbo, miji, majiji, wilaya na manispaa mpya zinazaliwa.Sasa uneishi huko halafu hujui kuwa ni mitaa au nini [emoji15][emoji15]
Achaneni na hio njia! Kuna siku natoka Mwenge nimeiachia taa zote kijani kufika hapa ilipokuwa Halotel zamani kuna jamaa akaingia na Crown niko 100+ nilipiga breki moja nikaswerve kushoto nilimkosa kama cm mbili nikajikuta nimefunga barabara zote mbili. Hizi barabara za mjini sio kabisa kuna wehu zile taa kwao hazina maana.Ndio mchezo wangu huo. Yani taa zikiwaka kijani na hamna boda boda around ninachomoka vibaya mno
Hii ajali imeondoka na mshkaji wangu.View attachment 2076989View attachment 2076989
Watu 14 wamefariki dunia baada ya ajali iliohusisha magari ya msafara wa mkuu wa mkoa na daladala Hiace
Alikuwa anawahi nyekundu ya upande wake sio? Taa za ile barabara ya mwenye zinakuwaga kijani muda mrefu mno, unapoikaribia intersection kuna kila sababu ya kupunguza mwendo kwanza maana watu uvumilivu unawashinda wanazivukaga.Achaneni na hio njia! Kuna siku natoka Mwenge nimeiachia taa zote kijani kufika hapa ilipokuwa Halotel zamani kuna jamaa akaingia na Crown niko 100+ nilipiga breki moja nikaswerve kushoto nilimkosa kama cm mbili nikajikuta nimefunga barabara zote mbili. Hizi barabara za mjini sio kabisa kuna wehu zile taa kwao hazina maana.
Hata sijui alikuwa anafikiria nini, ndo maana nasema hizi taa usiziamini kuna mwenzio anaosha tu.Alikuwa anawahi nyekundu ya upande wake sio? Taa za ile barabara ya mwenye zinakuwaga kijani muda mrefu mno, unapoikaribia intersection kuna kila sababu ya kupunguza mwendo kwanza maana watu uvumilivu unawashinda wanazivukaga.
Mimi nachunguliaga nyuma wale niliokuwa nao kwenye mataa wako pale pale mimi nishasepa mita mia mbele nayeya tu.Kale ka down ka Morroco bamaga huwa ndio sehemu ya kuchapana mboko! Hakuna cha BMW wala ushuzi ni stiki tu. Nikizima overdrive nikawasha ujue ngoma isambe![emoji28]
Breki Bamaga.
Hapo unaweza sali salamu maria kwa speed ya mwanga.Nilikua natoka Dom - Arusha.
Kufika makuyumi huwa Kuna kizuizi usiku kwajili ya magari makubwa kukaguliwa, gari ndogo zina pita.
Baada ya kizuizi kuna mizani hivyo magari makubwa yakitoka kukaguliwa huingia mizani alafu yanaendelea mbele uelekeo wa Arusha.
Kumbe kuna gari kubwa moja walipita pale kwenye kizuizi kimagumashi Kwa kutoa ela ya kiwi kwasababu gari Lao bovu sanaa.
Ghafla nikalikuta halina taa hata moja, halina reflector na linatoa Moshi mwingi Sana wakati huo chombo imesha kubali gear na upande wapili kuna chombo ingine iko mafuta Sana.
Option niliyo Kua Nazo za haraka ni kuigonga Kwa nyuma Ile gari mbovu, kuigonga Uso Kwa uso Ile gari ilyo Kua inatoka Arusha au kulimwaga porini.
Mind you hapo barabara iko juu porini ni chini na kuna wanyama.
Basi nikalitupa huko porini likapinduka mara mbili lakini kabla nilisha hangaika na brakes gari ikawa ina sota Tu it was too late.
Alipo kuja mkuu wa kituo pale makuyumi aliwasema Sana wale police kwanini alishindwa kuifwata Ile gari kubwa kumbe washa Kula Chao.
Msaada mkubwa ulitoka Kwa maderava wa magari makubwa. Hawa WA gari ndo walikua wanapita shwaaaa shwaaaaaaa shwaaaaa
Ilikua hivyo.
Sehemu wanakaa mabalozi wote ukute uswahili.?Obay na Masaki hapajawi kuwa na hakuna uswazi. Aliokwambia paliwahi kuwa na uswazi akwambie wapi. Usikute mnazungumzia Msasani maandazi road na bonde la mpunga. Maeneo ya mkoloni hayo wamejenga miaka hio sehemu tupu zilikuwa na mashamba ya mkonge.