Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Usiwaze mkuu. Kuna jamaa mmoja humu anajiitaga nani sijui yeye kwenye zile nyuzi zinazohusu sijui kutaja member unayemkubali au kumtakia member unayemkubali heri ya sikukuu fulani huwa analalamika kuwa hajawahi kutajwa.

Na kuna siku alishawahi hadi kutishia kuondoka jf mazima kisa anaona hapendwi na watu hivyo hana maana. Nikasema duuh hii ishu unaweza kuta tunaichukulia poa kumbe kwa wengine ni serious hadi wanawaza mambo ambayo hayapo.
Kuna watu wapo serious sana na maisha ya mitandaoni.
 
Cha kusikitisha wanakukuta umesimama taa za mbele kidogo!
Uko sahihi 100% [emoji1787][emoji1787] wananikuta taa za mbele

Mara chache sana nafanikiwa kuvuka kijani za mbele na wao wakifika wanakuta nyekundu. Ila most times nakuwa nawapa show tu na baadhi (hasa vijana) wakinikuta mbele wananigusia kahoni kidogo ka appreciation.

Mjini kuendesha haraka sio kufika haraka.
 
Uko sahihi 100% [emoji1787][emoji1787] wananikuta taa za mbele

Mara chache sana nafanikiwa kuvuka kijani za mbele na wao wakifika wanakuta nyekundu. Ila most times nakuwa nawapa show tu na baadhi (hasa vijana) wakinikuta mbele wananigusia kahoni kidogo ka appreciation.

Mjini kuendesha haraka sio kufika haraka.
Petrol head.........
 
Ile ni vituo tu vya daladala! Tena vimefatana maana ni kama vitongoji tu au streets.

Dah, karibu sana uje mitaa ya huku.
Halafu nimegundua hii nchi kuna mitaa midogo ambayo ni maarufu kwetu wakazi ila haitambuliki kiserikali. Na kuna ile mitaa mikubwa ambayo ndiyo inatambulika kiserikali ambayo tunaweza dhani ni kata kumbe kiserikali ni mitaa.

Mfano hiyo Geza Ulole ya Mbweni, kiserikali haitambuliki. Inahesabika ni Mtaa wa Mbweni, Kata ya Mbweni, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, Nchi ya Tanzania, Bara la Afrika, Sayari ya Dunia, Galaxy ya Milky Way (joking).

Nilishangaa kumbe hata Ununio inahesabika ni mtaa ambao upo kwenye kata ya Kunduchi, wakati siku zote wengi tunajuaga Ununio ni kata inayojitegemea, mambo haya. Kuna wakazi wa Dar hadi leo bado wanajua Dar ina wilaya tatu.
 
Halafu nimegundua hii nchi kuna mitaa midogo ambayo ni maarufu kwetu wakazi ila haitambuliki kiserikali. Na kuna ile mitaa mikubwa ambayo ndiyo inatambulika kiserikali ambayo tunaweza dhani ni kata kumbe kiserikali ni mitaa.

Mfano hiyo Geza Ulole ya Mbweni, kiserikali haitambuliki. Inahesabika ni Mtaa wa Mbweni, Kata ya Mbweni, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, Nchi ya Tanzania, Bara la Afrika, Sayari ya Dunia, Galaxy ya Milky Way (joking).

Nilishangaa kumbe hata Ununio inahesabika ni mtaa ambao upo kwenye kata ya Kunduchi, wakati siku zote wengi tunajuaga Ununio ni kata inayojitegemea, mambo haya. Kuna wakazi wa Dar hadi leo bado wanajua Dar ina wilaya tatu.
Hahahahhaha humo utanipoteza kwenye tarafa sijui kata wilaya yani hapo civics haikufua dafu! Ni kama somo la tense kwenye kingereza!

Najua nikikosea tense haisound vizuri ila kuzichambua hizo tense ndio kipengele
 
Nilikua natoka Dom - Arusha.
Kufika makuyumi huwa Kuna kizuizi usiku kwajili ya magari makubwa kukaguliwa, gari ndogo zina pita.

Baada ya kizuizi kuna mizani hivyo magari makubwa yakitoka kukaguliwa huingia mizani alafu yanaendelea mbele uelekeo wa Arusha.

Kumbe kuna gari kubwa moja walipita pale kwenye kizuizi kimagumashi Kwa kutoa ela ya kiwi kwasababu gari Lao bovu sanaa.

Ghafla nikalikuta halina taa hata moja, halina reflector na linatoa Moshi mwingi Sana wakati huo chombo imesha kubali gear na upande wapili kuna chombo ingine iko mafuta Sana.

Option niliyo Kua Nazo za haraka ni kuigonga Kwa nyuma Ile gari mbovu, kuigonga Uso Kwa uso Ile gari ilyo Kua inatoka Arusha au kulimwaga porini.

Mind you hapo barabara iko juu porini ni chini na kuna wanyama.

Basi nikalitupa huko porini likapinduka mara mbili lakini kabla nilisha hangaika na brakes gari ikawa ina sota Tu it was too late.

Alipo kuja mkuu wa kituo pale makuyumi aliwasema Sana wale police kwanini alishindwa kuifwata Ile gari kubwa kumbe washa Kula Chao.

Msaada mkubwa ulitoka Kwa maderava wa magari makubwa. Hawa WA gari ndo walikua wanapita shwaaaa shwaaaaaaa shwaaaaa

Ilikua hivyo.
Duuh Pole Sana Mkuu
 
Ilikuwa bado kidogo zipigwe sema ukabadili ID [emoji28]
Aahh ndiyo nikajua wanaume wengi wa jf mnajua kukasirika asee yaani nilikuwa naoga matusi kama yote. Na hapo mtu anakasirika na kukutukana hivyo hakufahamu wala hajui kama unavyoongea uko serious au unatania.

Mtu stress zake zote anaona aje kukumalizia wewe. Kubadili id mbona wengi walijua maana niliwaambia.
 
Aahh ndiyo nikajua wanaume wengi wa jf mnajua kukasirika asee yaani nilikuwa naoga matusi kama yote. Na hapo mtu anakasirika na kukutukana hivyo hakufahamu wala hajui kama unavyoongea uko serious au unatania.

Mtu stress zake zote anaona aje kukumalizia wewe. Kubadili id mbona wengi walijua maana niliwaambia.
😅😅😅😅😅😅😅 sasa sahizi tulia nataka nije nitoe posa kwa Canali mzee Anganile hapo
 
Back
Top Bottom